Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,992
- 22,396
Mkuu kwani na wewe sometimes unadanganya kama mimi??
Nimeona umesema you are very fluent kwenye Emglish halafu ghafla unaniambia wewe ni learner???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kwani na wewe sometimes unadanganya kama mimi??
Yani wewe bhana 😂😂😂
Eti tutajua huko huko 😂😂😂😂
Kudanganya kawaida tuMkuu kwani na wewe sometimes unadanganya kama mimi??
Nimeona umesema you are very fluent kwenye Emglish halafu ghafla unaniambia wewe ni learner???
Ndio anang’ata ng’ata vidole.
Kudanganya kawaida tu??!!!!!! Here you are being honest and thanks for that.Kudanganya kawaida tu
Sijui kihivyo mie napenda kiswahili zaidi
Hicho broken ndo kizuri coz ndo unajua zaidiKudanganya kawaida tu??!!!!!! Here you are being honest and thanks for that.
Mimi napenda kuongea kiingereza kila ninapopata fursa, japo ndio hicho hicho broken
HahahahahahaahahahHicho broken ndo kizuri coz ndo unajua zaidi
kuna siku unaongea lkn unajiuliza hivi nmeongea nn hapa .
Sijaelewa hapo kwa MoyoHahahahahahaahahah
Unanipa moyo au???
Unajua kumpa mtu moyo??? Au kumvunja moyo?? Uzi wa watu tumeuvamia lakini duhSijaelewa hapo kwa Moyo
okay nimeelewa ni kama kumushauri au motivate flan hiviUnajua kumpa mtu moyo??? Au kumvunja moyo?? Uzi wa watu tumeuvamia lakini duh
Haswaaaaaokay nimeelewa ni kama kumushauri au motivate flan hivi
Hata km english ni broken ila najua kwa uhakika if you pratice it more often lazma uwe competentHaswaaaaa
So, you were implying that in a way
Hahaha...Uzi mzuri.... anyways sitaki kujaza server za JF ila mnaokuja PM mnaonaje mkitanguliza picha zenu? Maana naogopa ku deal na watu wafupi waliokomaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Practices make perfect, si ndio???Hata km english ni broken ila najua kwa uhakika if you pratice it more often lazma uwe competent
NdioPractices make perfect, si ndio???
Kwamba joanah ndiye da vinci....
Nashukuru mnooo jamani, ila nimezitoa kwako dear!Yaani wewe mtu una mabusara kama yote vile.
Mimi na mabusara wapi na wapi jamani??? Hebu usinipake mafuta kwa mgongo wa chupa sakayoNashukuru mnooo jamani, ila nimezitoa kwako dear!