I love Joanah (my dream woman)

I love Joanah (my dream woman)

Uko huru. Hukasiriki kirahisi. Unachukuliana na kila mtu. Unajua kujenga hoja na post zako nyingi zina kitu ndanimwe. Yaani mtu anaweza tu kukujengea taswira ya binti mmoja anayeyajua maisha sana na mwenye misimamo yake, kitu ambacho ni nadra sana siku hizi. Na tule tunote twako twa kuandika kwa mkono yaani....

You are one of a kind kweli Joanna [emoji1545][emoji1545][emoji1545]

Yaani umenisifia hadi nimepata bichwa kweli kweli hapa,asanteee SHIMBA YA BUYENZE kama huwa unaniona hivi ulivyonielezea

Kuhusu kukasirika kasirika sijui kwanini kuna baadhi humu huwa wananiona mwenye gubu/mkali kwenye comments na majibu yangu(wakati kiuhalisia huwa natokwa na mapovu na huwa naonesha kukasirika mara chache mnoooooooooooooooo)


Asante kwa kuweza kunisoma na kunitafsiri the way umenitafsiri hapo juu...nimefarijika sana

Tunote twa mkono 👇👇😁😁
20200202_200812.jpg
 
Yaani umenisifia hadi nimepata bichwa kweli kweli hapa,asanteee SHIMBA YA BUYENZE kama huwa unaniona hivi ulivyonielezea

Kuhusu kukasirika kasirika sijui kwanini kuna baadhi humu huwa wananiona mwenye gubu/mkali kwenye comments na majibu yangu(wakati kiuhalisia huwa natokwa na mapovu na huwa naonesha kukasirika mara chache mnoooooooooooooooo)


Asante kwa kuweza kunisoma na kunitafsiri the way umenitafsiri hapo juu...nimefarijika sana

Tunote twa mkono [emoji116][emoji116][emoji16][emoji16]
View attachment 1344562
Unaona sasa!

Hivi nami nikikuanzishia uzi kweli utanikasirikia? [emoji16][emoji16][emoji16]

On a serious note; niliyoyasema hapo juu ni kweli tu, at least from my perspective.

Uzidi kubarikiwa Joanna [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
 
Hebu niambie dia babu nifanyaje?

Kaka yangu Mgugu kashakubali lakini sijajua Don Clericuzio namuachaje
Nimegundua Mgugu ni kigeugeu kama Bashite, Namlamba BAN la kuingia kwenye familia yetu.

Anakubalije kirahisi namna hii bila kunihusisha????

Watu wa namna hii ndio wananyima wenzao HAKI YA KUISHI

Kuhusu "utafanyaje" hebu fanya hima weekend hii tuonane tuangalie cha kufanya

Nimemaliza
 
Nimegundua Mgugu ni kigeugeu kama Bashite, Namlamba BAN la kuingia kwenye familia yetu.

Anakubalije kirahisi namna hii bila kunihusisha????

Watu wa namna hii ndio wananyima wenzao HAKI YA KUISHI

Kuhusu "utafanyaje" hebu fanya hima weekend hii tuonane tuangalie cha kufanya

Nimemaliza

Haya babu
Hii weekend tutajua 'tunafanyaje'
 
Weekend inaisha vizuri,vipi kwako?

Naona kule EPL mnazidi kukenua tu

Weekend inaisha poa.

EPL sasa hivi tumeshaachana na habari za ubingwa, tunawaza unbeaten na points zaidi ya 100 ili tupite record ya City.
 
Back
Top Bottom