RAYAN THE DON
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 679
- 1,218
- Thread starter
- #201
Kwani hamuwezi kuandika ngeli hata mistari miwili tu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani hamuwezi kuandika ngeli hata mistari miwili tu?
Kwani hamuwezi kuandika ngeli hata mistari miwili tu?
Nasemajeee wanazengo, huyu mtu ni mhaya, mnisamehe bure but this guy is a Haya.
Halafu mtoa uziiiii sio thread nikwambie tu hutokuja kumpata mwanamke kwa masifa hayo ya publicity stunts, mapenzi ya kutangaza huwa mengi yao ni fake.
Ungemfata nakumpa hizi sifa private huwezi jua ungekwishatunukiwa ila hiviii sijui.
Don't hunt what you can't kill.
Hatuwezi mkuu.Kwani hamuwezi kuandika ngeli hata mistari miwili tu?
Nakushauri jifunze lugha ni muhimu sana. Labda tu kama umepanga maisha yako yawe ni hapo bongo tu ni sawa.
Jifunze mkuu. Siku ukijua kutema yai utakuwa unafurahi sana. Hata huduma utapata kwa uharaka sana.
Nakushauri jifunze lugha ni muhimu sana. Labda tu kama umepanga maisha yako yawe ni hapo bongo tu ni sawa.
okay.Naona ni lifestyle ya kitanzania mara nyingi unakuwa unaongea swahili mwisho wa siku unazoea hali hiyo . napendelea kuongea ngeli rather than kuandika hivi .
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa boss ngoja nifanye mpango wa kuonana na ras simba.Jifunze mkuu. Siku ukijua kutema yai utakuwa unafurahi sana. Hata huduma utapata kwa uharaka sana.
Wabongo ukitka akusumbue muongeleshe kiswahili ila ukimpeleka kwenye lugha ya malkia hoi. utasikia okay boss, yes, yes. hana hata time ya kuuliza swali wala nini.
Tafuta watu wanaongea hiyo lugha kwa 75%. . Fanya mazoezi ya kutosha ya kuongea ngeli na watu wanaojua ngeli.
Tafuta watu wanaongea hiyo lugha kwa 75%. . Fanya mazoezi ya kutosha ya kuongea ngeli na watu wanaojua ngeli.
Ndani ya mwezi mmoja utakuwa nouma sana. Usiogope kukosea hata kidogo. ukikosea leo wakakuweka sawa. kesho hautakosea tena.
Huu urefu wa 5'8'' ni bila viatu na wigi?
Kuna jamaa wangu bila viatu anao urefu wa 207cm. Lazima akikuona atasema wewe ni mfupi.
Mpaka unakuta kajasho kanakutoka kimtindo. kumbuka confidence hutengenezwa, so nakushauri uwe unakuwa mstari wa mbele katika kuongea na makundi makubwa ya watu hivyo hivyo kwa aibu mwisho wa siku utazoea na utaona kawaida. mwisho wa siku utakuwa noum sana.I'm very fluent in english sema nna aibu so naweza nikawa naongea nikiwa spo free .
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpaka unakuta kajasho kanakutoka kimtindo. kumbuka confidence hutengenezwa, so nakushauri uwe unakuwa mstari wa mbele katika kuongea na makundi makubwa ya watu hivyo hivyo kwa aibu mwisho wa siku utazoea na utaona kawaida. mwisho wa siku utakuwa noum sana.
Nakumbuka kipindi niko shule ya secondary marafiki zangu walikuwa wanaona wazungu wanawakimbia kuwa watawaongelesha ngeli. ila mimi nikawa napambana hivyo hivyo mpaka natumia mikono kuelezea but mwisho wa siku nikawa vizuri.
kwanini umeandika hivyo mkuu.
Call me, tuongee kizungu[emoji16][emoji16]Sna mtu wa kuongea nae tuseme mazingira ninayoishi si rahisi hapo tu una code mix mtu anakuona unaringa .
Sent using Jamii Forums mobile app
Call me, tuongee kizungu[emoji16][emoji16]
Don't hunt what you can't kill.