The Wolf
JF-Expert Member
- Sep 10, 2013
- 9,412
- 20,685
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weekend inaisha poa.
EPL sasa hivi tumeshaachana na habari za ubingwa, tunawaza unbeaten na points zaidi ya 100 ili tupite record ya City.
Ila bora bhana mmejua ubingwa wenu mapema hivi,ikifika mwisho wa ligi mtakuwa mshakinai ubingwa wenyewe so hamtasumbua kiviiiile
Hiyo unbeaten endeleeni kuwaza kwasababu haiwezekani,nyie kina nani asee?...lakini ngoja tusubiri
Hata mie nimehisi mtoa mada ni joanah mwenyewe ambaye ni da vinci ambaye pia atakuwa ni 13 mega pixel
Hiyo unbeaten ombeni tu isitokee, maana tutasumbua sana mitaani.
Nitakutafutia jezi ya Liverpool tukipata unbeaten record.
Yeah wote hao ni mimi
Mungu asaidie asee isiwe hivyo!!
Jezi ya liver hata nikivalishwa nikiwa nimekufa nafufuka one time naivua halafu na-continue to RIP
Hahaha, umetisha sana.
Ngoja tuone nini kitatokea.
Nimeona mahali kwamba wewe ndo Da Vinci.
Yaani wewe mtu una mabusara kama yote vile.Taratibu mdogo wangu mzuri mzuri
Hata mie nimeona mahali citizen b anadai mi na Da vinci ni yeye
Kwa hiyo tunahitimisha vipi hii discussion?
Ihitimishwe kwa kupuuzwa,ningekupa sababu lakini sitamani kumuoffend muhusika kama akipita hapa(if you know what i mean)
Twende tukaijadili chumbani.
Hebu tufanye hivyo,lakini hata chumbani sitamtaja muhusika 😊
Mtufundishe na Sisi jamaniNaona ni lifestyle ya kitanzania mara nyingi unakuwa unaongea swahili mwisho wa siku unazoea hali hiyo . napendelea kuongea ngeli rather than kuandika hivi .
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani wewe bhana 😂😂😂Tutajua huko huko.