MLEVi Mmoja
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 8,514
- 15,050
Introvert ni watu wenye akili zao, kwa sababu jamaa kazingua usitake chafua introvert wote boss!!
Hata Mimi nahunga mkono hoja hapojoanah aina ya uchsngiaji wako, kujiachia kama slivyokuwa akijiachia miss chagga ndio unaosababisha uwavutie mabaharia
Sent using Jamii Forums mobile app
Nani kakwambia introvert hawana marafiki?Kutokuwa na rfk ni kuzingua ?
Aah wapi sio lazima kuwa nao so sijaona shida hapo sijaona kuchafua hapo upepo wa pesa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi naona wanamjaribu wajue jinsi yake.Duuh we mwanamke umewanywesha nini mabaharia wa huku ? Huyu atakuwa wangapi kukuandikia [emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
No offense intendedoluwa mi o ......heee[emoji15][emoji32][emoji33][emoji33] wai are you doin this to my fellow brada's
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio wote wanao na wengi wanao wachache kwa simple research ya kuungaunga yakinifu mfano soma bandiko la member MaitiNani kakwambia introvert hawana marafiki?
Mara hawana marafiki mara sio wote mbona hueleweki?Sio wote wanao na wengi wanao wachache kwa simple research ya kuungaunga yakinifu mfano soma bandiko la member Maiti
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunaharibu Uzi wa watu kwa mada tofauti
Mi nashangaa tuuuu
nina mashaka na picha utakazo tumiwa na wahusikaUzi mzuri.... anyways sitaki kujaza server za JF ila mnaokuja PM mnaonaje mkitanguliza picha zenu? Maana naogopa ku deal na watu wafupi waliokomaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
😅😅 Siwezi kuwa mlokole, haitatokea
Unajua huwa sipendi haya mambo ya kuanzishiwa nyuzi e?sijui nifanyaje ili nipumzishwe na hizi unnecessary fursa
Mama weweweeeeeMi nashangaa tuuuu
AsanteTe quiero mucho