Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 22,527
- 79,976
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
joanah aina ya uchsngiaji wako, kujiachia kama slivyokuwa akijiachia miss chagga ndio unaosababisha uwavutie mabaharia
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani kabisa pamoja na ung’eng’e wote ule wa mchizi ndo imeisha hivi..!!
Come on JoJo huwezi kuwa siriazi, sio poa hii.... wenzio wanakesha kwa mganga ili nyota iwake wewe kirahsi tu.
Imeisha hiyo [emoji3][emoji3][emoji3]
LoL!Hamida wa JF [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji174]Uzi mzuri.... anyways sitaki kujaza server za JF ila mnaokuja PM mnaonaje mkitanguliza picha zenu? Maana naogopa ku deal na watu wafupi waliokomaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndo maana kwenye ule Uzi wenu niliwaambia nyie ni wagonjwa [emoji3]
Ndo hasara za kuwa introvert
Sent using Jamii Forums mobile app
Akhsante kwa kututetea.Introvert ni watu wenye akili zao, kwa sababu jamaa kazingua usitake chafua introvert wote boss!!
Acha kutuandama[emoji2]Kutokuwa na rfk ni kuzingua ?
Aah wapi sio lazima kuwa nao so sijaona shida hapo sijaona kuchafua hapo upepo wa pesa
Sent using Jamii Forums mobile app
NakusalimuHow do you take responsibility???
Waambie mods wafute uzi
Depal unatafutwa hukuNami naomba niendelee kusisitiza nia yangu niliyotangaza kwa mda mrefu
Depal nakuelewa sana na nakukubali mno wewe mrembo sema unanipiga chenga deili fanya uje tuyajenge mama
cc anaeweza anisaidie kumtag
Samahani kwa kutumia uzi wako kutangaza nia mkuu
MLEVi Mmoja.
Hebu nawe mfungulie siredi yule mwingine nione utavyonyonyolewa.[emoji41]
same wayKuna ID za kike Humu JF nmeshajirdhisha nazo ni za wanaume 100%
Sizifatiliii ila najikuta tu nazishtukia kutokana na makosa yanayoendelea
Wenzangu kina nani wanakesha kwa mganga?