I love Joanah (my dream woman)

I love Joanah (my dream woman)

Kuna wanaume taabu kweli, Unashindwa kuwa unique, Najua unafahamu kuwa nyuzi kama hizi juu Yake ni nyingi, Umeshindwa nini kumfata Piemu, Mchombeze , Uanze hata na kaurafiki, Uwe unalike posts zake Speed Ya Mkwepu Jr maana mshkaji kapita hadi speed Ya light,

Then Umwambie unavofeel,
Unadhani kuandika hapa ndo atakuonea huruma, Arrrgh Umenifelisha sana Bro
Feelings Hazijengwi Siku moja bwanaaa Acha kuwa kama Chalii anaeishi kwa fantasy Da vinci [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]

Ushauri kutoka kwa mvulana kwenda kwa mwanaume
Sauti inatosha kabisaa jamani
 
Shunie mlimalizanaje na huyu jombaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Bag langu jamanii dada
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ulitaka ukuje nitolea povu eeehh,, chalii wewe!
we ruka ruka tu na hicho kisketi💃💃

ntakuotea tu nakwambia maana mbauda wamekushindwa

ila mimi sijakushindwa nasema mama yeyoo wewe
 
we ruka ruka tu na hicho kisketi[emoji126][emoji126]

ntakuotea tu nakwambia maana mbauda wamekushindwa

ila mimi sijakushindwa nasema mama yeyoo wewe
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mbauda ni wapi huko eti jamani....

Umejuaje mevaa kisketi changu hapa, najimwambafaii
 
Nimekuelewa mama angu nitakuja huko kwa waziri mkuu tuu japo najua kuna watu watapata wivu wa kutosha tuu hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Waache wateseke tuu jamani!!
 
Kama hujawahi kuniPM kwanini uanzishe uzi kama huu?

Kwanini usingeniPM moja kwa moja kuandika uliyoandika hapa??!kuna haja gani ya uzi?
Thanks for your question.

In regards to your questions I respond that I put down the discourse because of love and wanted the world(JF) to fathom my feelings over you and nothing to hide. Also, as you know when a real man loves he can't choose a battlefield.

Further, I'm ready to take full responsibility, if my acts prejudiced you.

I love you, Joanah.
 
Back
Top Bottom