I love Joanah (my dream woman)

I love Joanah (my dream woman)

Kuna wanaume taabu kweli, Unashindwa kuwa unique, Najua unafahamu kuwa nyuzi kama hizi juu Yake ni nyingi, Umeshindwa nini kumfata Piemu, Mchombeze , Uanze hata na kaurafiki, Uwe unalike posts zake Speed Ya Mkwepu Jr maana mshkaji kapita hadi speed Ya light,

Then Umwambie unavofeel,
Unadhani kuandika hapa ndo atakuonea huruma, Arrrgh Umenifelisha sana Bro
Feelings Hazijengwi Siku moja bwanaaa Acha kuwa kama Chalii anaeishi kwa fantasy Da vinci [emoji23][emoji23][emoji23]🤣

Ushauri kutoka kwa mvulana kwenda kwa mwanaume

Sawa mkuu, lakini wengine kule PM hawajibu. Ngoja mwakani nitaanza na hiyo technic ikiwezekana 2021 ukawemwaka wa kusimulia makubwa yaliyotokea kwa sababu PM za JamiiForums. Ahsantee sana mkuu.! Ukiwa na ujanja mwingine namna ya kuwin moyo wa manzi usisite kunitag Redpanther the happy dude [emoji4]


Happy dude [emoji67]‍[emoji538]
 
Thanks for your question.

In regards to your questions I respond that I put down the discourse because of love and wanted the world(JF) to fathom my feelings over you and nothing to hide. Also, as you know when a real man loves he can't choose a battlefield.

Further, I'm ready to take full responsibility, if my acts prejudiced you.

I love you, Joanah.
Mtoa thread wewe ni mhaya?!

Don't hunt what you can't kill.
 
Sawa mkuu, lakini wengine kule PM hawajibu. Ngoja mwakani nitaanza na hiyo technic ikiwezekana 2021 ukawemwaka wa kusimulia makubwa yaliyotokea kwa sababu PM za JamiiForums. Ahsantee sana mkuu.! Ukiwa na ujanja mwingine namna ya kuwin moyo wa manzi usisite kunitag Redpanther the happy dude [emoji4]


Happy dude [emoji67]‍[emoji538]
Ok anza kumfuatilia njiwa wako kuanzia huku kwenye public mtegee mtama Ataringa , Usichoke jenga ukaribu mwombe afungue piemu, uwe na mada za akili 😂😂😂
 
Uzi mzuri.... anyways sitaki kujaza server za JF ila mnaokuja PM mnaonaje mkitanguliza picha zenu? Maana naogopa ku deal na watu wafupi waliokomaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ufupi na urefu ni ulinganisho wa kimo chako na uliyesimama nae. Taja urefu wako kwanza kwa kipimo cha sentimita (cm) ili mtu ajilinganishe.















































Sio vizuri kumuita mtu kwa kimo chake.
 
Kuna wanaume taabu kweli, Unashindwa kuwa unique, Najua unafahamu kuwa nyuzi kama hizi juu Yake ni nyingi, Umeshindwa nini kumfata Piemu, Mchombeze , Uanze hata na kaurafiki, Uwe unalike posts zake Speed Ya Mkwepu Jr maana mshkaji kapita hadi speed Ya light,

Then Umwambie unavofeel,
Unadhani kuandika hapa ndo atakuonea huruma, Arrrgh Umenifelisha sana Bro
Feelings Hazijengwi Siku moja bwanaaa Acha kuwa kama Chalii anaeishi kwa fantasy Da vinci 😂😂😂🤣

Ushauri kutoka kwa mvulana kwenda kwa mwanaume

Kuwa unique ni kwenda PM? just think beyond the box.
Hahahahah. Temerity is the most important to a man. Nothing to hide. Why nimfuate mafichoni huko PM?
kumpenda mwanamke na kufunga openly kama hapa siyo tatizo hata kidogo.
 
Kuwa unique ni kwenda PM? just think beyond the box.
Hahahahah. Temerity is the most important to a man. Nothing to hide. Why nimfuate mafichoni huko PM?
kumpenda mwanamke na kufunga openly kama hapa siyo tatizo hata kidogo.
Kwenda piemu ni kama mfano tuu brother , Kuandika public ndo atakuonea huruma
Think Beyond
 
No matter what. Nampenda sana Joanah. Kama tunaweza mpenda Mungu ambaye hatumuoni why nashindwe kumpenda JOANAH ambaye ipo siku tutakutana na ataelewa ninachokizungumza?
kama ni dume je ? maana uyo Joanah ujawai muona
 
Kwenda piemu ni kama mfano tuu brother , Kuandika public ndo atakuonea huruma
Think Beyond
Acha kunilisha maneno yako mkuu.
Hakuna sehemu yoyote niliyoandika kuwa natafuta huruma kutoka kwake mkuu.
kama kuna sehemu nimeandika naomba unioneshe mkuu.
Endapo hautaonesha hicho kitu. Nakushauri yafuatayo:-
Kwanza, Kama wewe ni ME badlisha mwenendo wako ili uwe mwanaume kamili
Pili, acha wivu wa kike. Tutaacha kumpenda yeye mwisho wa siku tutakutanua wewe hilo jicho mkuu.
 
Acha kunilisha maneno yako mkuu.
Hakuna sehemu yoyote niliyoandika kuwa natafuta huruma kutoka kwake mkuu.
kama kuna sehemu nimeandika naomba unioneshe mkuu.
Endapo hautaonesha hicho kitu. Nakushauri yafuatayo:-
Kwanza, Kama wewe ni ME badlisha mwenendo wako ili uwe mwanaume kamili
Pili, acha wivu wa kike. Tutaacha kumpenda yeye mwisho wa siku tutakutanua wewe hilo jicho mkuu.
Mbona umepanic brother unaanza matusi?

Kuna sehemu nimekutukana , Wewe ndo utaliwa jicho
Una uhakika joana ni KE

Au ndo ushaanza Tabia za Kichoko ,
 
Back
Top Bottom