Na mimi naangalia tu kama nyie!πHayo anayosema juu yako sitii neno, hilo ni juu yako to deal with π€£
Hahahahahahaha, zimefyatuka itakuaKwan ipo sawa [emoji23][emoji23][emoji23]
Punguza utapeli we mzeeπYaani pamoja na sifa zote hizo Babu yake nilizotaja bado unataka kututania Wazee Kwa kuweka hizo elfu 30 Kwa bahasha.
Hizo elfu 30 Kwa gari tu anayotumia, akiweka mafuta gari haifiki hata Mwenge kutokea Upanga inakuwa imeshawaka taa.
Hebu Fanya uweke milioni 3, then tukikaa kikao Wazee tutakutajia mahari ambayo haitapungua milioni 10 π€ππππ
ππππ mbombo ngafuU daktar wake hata sio tatizo maana hatuna mpango wa kwenda kuishi wodini. Je ana ujuzi wa kupasua mbususu kwa ustadi kupenyeza vya kupenya??
Anawafukuzia Lamomy na Joannah kisirisiri ,Mkaldayo anataka kuvunja masharti ya Ghayo's gang aungane na The Mongolian Savage kujaribu maisha mapya..
Dirisha la usajiri limefungwaHaya ngoja niongeza Hadi sa6 kamili leo
Yeah... Mda mrefu sanaDirisha la usajiri limefungwa
Sawa mkuu,Yeah... Mda mrefu sana
Aisee nitakuanzishia uzi leo baada ya gemu ya Simba na Tabora Utd πKila mmoja aanze kunadi sera zake sasa ili nichague moja .. Tare14 wiki ijayo si mnajua
ππAisee nitakuanzishia uzi leo baada ya gemu ya Simba na Tabora Utd π
πππ
Bora wewe ulikua una uhakika bibi utakua unamla peke yakoKwa Mwanamke uliyempenda hutashindwa kumtolea hata milioni 50.
Mwaka 1973 wakati namwoa Bibi yenu, nililipa mahari ya shilingi 915. Yaani I had to collect 16 months salary kuweza kutimiza hiyo hela π
Ingia google angalia hiyo pesa ina thamani gani Kwa leo π€
Hahaha wewe hiv vicheko angalia usije ukavunja mbavuππππ mbombo ngafu
Nimecheka mpk sio poah..!!Hahaha wewe hiv vicheko angalia usije ukavunja mbavu