Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Eheeee yaan humu usikubal id mpya kabisaUkute alishammiminia maneno ya kashfa huko 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eheeee yaan humu usikubal id mpya kabisaUkute alishammiminia maneno ya kashfa huko 😂
Hahahahaha..vigezo unavyo ? Hunu wanapendwa wenye mahela na sio visenti vya mawazoNa mimi Ngoja nitafute mrembo Aise,
Hahahahaha mbn hata sisi wa zamani mnatukataa?Eheeee yaan humu usikubal id mpya kabisa
Ngoja nikachonge ID mpya hii naiuza wakuu anaetaka ipo sokoni.Eheeee yaan humu usikubal id mpya kabisa
Ahahaha 😂Tatizo hutaki ku activate the channel mambo yote hadharan upande wa pil
Kila mtu na kolon lake jamani mridhike na makoloni yenu 😂Hahahahaha mbn hata sisi wa zamani mnatukataa?
Au unajiskia raha ukiona nateseka Lee!?Ahahaha 😂
Hahahahahaha mie sina koloni humu..kama lipo aisee linitafute Januari imeishaishaKila mtu na kolon lake jamani mridhike na makoloni yenu 😂
Hahahahahaha mie sina koloni humu..kama lipo aisee linitafute Januari imeishaisha
Nitakuwa nampa 1000 kwa siku 🤔, asiwaze sana...Hahahahaha..vigezo unavyo ? Hunu wanapendwa wenye mahela na sio visenti vya mawazo
Yaani ukiambiwa mambo ..unatuma 250k ya lunch ..ndio utapata humu
Hahahahaha duh hiyo si ya kumpa dada wa kazi nyumbani aweke vochaNitakuwa nampa 1000 kwa siku 🤔, asiwaze sana...
Kwa hiyo nikaushe tu...Hahahahaha duh hiyo si ya kumpa dada wa kazi nyumbani aweke vocha
Hata vocha haitoshi 😂Hahahahaha duh hiyo si ya kumpa dada wa kazi nyumbani aweke vocha
Hahahahaha ningekua naeza hizo kimya kimya ningeishaumbuliwa humu kwa style ya wadada wa humuHuhuu tatizo mnataka mgombaniwe mnaona sifa ,hujaamua tu tena we unaesema huna ukute mzee wa kimya kimya
Humu wewe tafuta mijihela walau utaaelewekaKwa hiyo nikaushe tu...
HahahahahaHata vocha haitoshi 😂