Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Au nasema uongo mkuu, hiyo buku dada wakazi akiingia tiktok ni video 17 Mb zimekata.Hahahahaha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au nasema uongo mkuu, hiyo buku dada wakazi akiingia tiktok ni video 17 Mb zimekata.Hahahahaha
😂😂😂 sasa si huchanganyi mafaili kama mwenzio yule anatoa ubuyu wa huyu anapeleka kwa mwingineHahahahaha ningekua naeza hizo kimya kimya ningeishaumbuliwa humu kwa style ya wadada wa humu
😄, natamani nipate ushuhuda mmoja wapo kuhusu wanawake wa JF,Humu wewe tafuta mijihela walau utaaeleweka
Nakushauri soma posts na maoni yao kwa utulivu sana😄, natamani nipate ushuda mmoja wapo kuhusu wanawake wa JF,
Ee lazima utesekeAu unajiskia raha ukiona nateseka Lee!?
Hahahahaha km ni hivyo bora nibaki hivi hivi tu😂😂😂 sasa si huchanganyi mafaili kama mwenzio yule anatoa ubuyu wa huyu anapeleka kwa mwingine
Hahahaha sawa sawa .halafu yeye ndio anataka kuhonga wadada wasomi wa JF ..si dharau hzAu nasema uongo mkuu, hiyo buku dada wakazi akiingia tiktok ni video 17 Mb zimekata.
Sasa tabu yote ya nini hii huku mi nataka tulimalize hil bata zichukue hatamu yake!?Ee lazima uteseke
Tunachelewesha watoto wetu kuanza shule ujueEe lazima uteseke
Tena buku, si atakula misonyo ya nyuma ya keyboard mpaka akome 😂Hahahaha sawa sawa .halafu yeye ndio anataka kuhonga wadada wasomi wa JF ..si dharau hz
Tuendelee kusubiri zijengwe nyingine 😂Tunachelewesha watoto wetu kuanza shule ujue
Point sana, 🤝Nakushauri soma posts na maoni yao kwa utulivu sana
Hawatasoma hiz na necta hata wasipojenga no problem. Cambridge syllabus ndio level zao so lets keep it fastTuendelee kusubiri zijengwe nyingine 😂
Beauty is in the eye of the beholder.Una uhakika ni mrembo?
Basi sawa,,, Kwahiyo nianze kudodi ukumbi kabisa au nianze kushona gauni kwanzaHawatasoma hiz na necta hata wasipojenga no problem. Cambridge syllabus ndio level zao so lets keep it fast
Ushone magauni ya kazi gan lakin, ma designer kibao waliojaa mbele huko... ukumbi we just press an order pale mliman city imeisha hiyoBasi sawa,,, Kwahiyo nianze kudodi ukumbi kabisa au nianze kushona gauni kwanza