Novemba 24 ... Ukasema Dear
MLEVi Mmoja .......hapa wana tukasema mambo yameiva..
Novemba 30.... Ukauliza, Nisahihi kumtumia Bwanako Picha za Uchi?????... Hapa kwasis tuliomakin, tukajua moja kwa moja
MLEVi Mmoja ndo kakuomba picha izo....
Leo Desemba 10 .... Unaomba msamaha ....... Hapa kuna mawili.... Uligoma kumtumia picha mlevi mmoja.... Au ulimtumia ila jamaa akua serious ... Au ulimtumia jamaa akala na mzigo .... Sasa kapotea...
Kwaufupi, Amini usiamini, hivoivo tu mpaka mwisho mnaachana ukiwa umeshatafunwa na baharia !!!.
Usiumie sana lkn, mmekutana kimjin mjini na mtaachana kimjini mjini...
Ktk hayo yote, Usisahau Kondomu !!!