Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
Kwani vina muda basi [emoji1787] yatawashinda tuNaona jamaa ndio KWANZA ametoka Ku graduate form six au diploma!.
Ngoja maisha yamkaze!
kuna nini tena huku. ila una upaja wewe mwanamke
njoo unibebe!kuna nini tena huku. ila una upaja wewe mwanamke
acha wivu kalipe marejesho!Naona jamaa ndio KWANZA ametoka Ku graduate form six au diploma!. Hongera.
Ngoja maisha yamkaze! Utaleta mrejesho
Otherwise uwe mfugaji wa madume ya mbwa...π
yote nmi mabusu swiriii! ahahahahaMi napewa mabusu ya pesa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Joke
πππacha wivu kalipe marejesho!
naamka saa 10 kwenda kaziniUnaamka na matusi na mingumi na stress za kausha damu (Marejesho / madeni)?
mwaka wa 38, Mungu mwemaUpo mwaka wa ngapi kwenye hiyo Ndoa yako?
asante na wewe je?Hongera
sawa mie nakubeba alafu napiga deki mbususu yako au sio mrembonjoo unibebe!
hata ukiloga kwa mwamposa haitokei!Kwani vina muda basi [emoji1787] yatawashinda tu
Joke
Muwe mnakaa kimya ndo maana mnaibiwa...[emoji1787]Humu ukisema mazuri yako yanageuka mabaya bora ukae kimya
seeeema, usiogope semaa!Humu ukisema mazuri yako yanageuka mabaya bora ukae kimya