I Love you too much Lamomy

I Love you too much Lamomy

Dah unamkana udugu wako sio?[emoji28]
Sijamkanaaaa!!! Ila sikuhusika kwenye ugomvi, kumbe nawee ulikua unadhamini ugomvi? Afu kwann ban itembee kwa baadhi na sio wote waliogombana? Huwa mnatafutia watu Ban kwa lazimaa?

Poleeeeee, nimeshavuka hizo level mie, hata yeye huyo wenzio habari anayoo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nimekubali mkuu kama vipi tuliendeleze wafunge na huu uzi[emoji28]
Khaaaaaah!!! Kumbeeee??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbona sitakiii kuaminiii? Umefikiaaa hukuu? Poleeeee
Umwkwamaa wapiiii? Umefail wapii kumaimtain status.

Woiiiiiiiiih!!!
 
Kwan anateseka na kipii? Alikutakaa ukamkataaa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
mbona km kuna kitu kinamsumbuaa? Woiiiiiiih
Na mimi namshangaa yani?? Kanikalia kooni sijui nilimfanya nini huyu mzee??
 
Na mimi namshangaa yani?? Kanikalia kooni sijui nilimfanya nini huyu mzee??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee umesema kibaraka was kichaa, kanikwarua sehemu na nimekausha, em kanitag nionee. Plz
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee umesema kibaraka was kichaa, kanikwarua sehemu na nimekausha, em kanitag nionee. Plz
Nimekutag na wengine wanachekelea nenda uzi ā€œTupige kura nani mrembo wa jfā€ fatilia comments zangu utaona
 
Back
Top Bottom