I love you...

Haya bana, we endelea kushow love tena kamsimu kenyewe haka.....kanono kweli kwa wishes! Heheh ebu msome AshaDii hapo kwenye signature, bila shaka mambo yananoga! (samahani mamito sichakachui uzi wako)
Hujachakachua, bado uko ndani ya mada kabisa! kweli ni season greeting na inapendeza kukumbushiana. the point is: hatutakiwi kusubiri aniversary au valentine day kukumbushana our love... mi nilihisi tu nampenda sana leo nikaona I should make a special dedication, na wanao penda/pendwa wote wajiskie huru kuwaambia wapenzi wao kuhusu hisia zao...
 
Kumbe unaongelea holiday season love?!?

Haya bana, we endelea kushow love tena kamsimu kenyewe haka.....kanono kweli kwa wishes! Heheh ebu msome AshaDii hapo kwenye signature, bila shaka mambo yananoga! (samahani mamito sichakachui uzi wako)
 
**** we..
nlidhani dhani kupenda ni feelings .
ahhhh sijakosa wa kunipenda sababu sitafuti wa kunipenda.
is waste of time kutafuta.
ahhhh nimeridhika na kujipenda kwa kweli .

*** hunijui, sikujui achana na mimi.
Source sredi ya wasiopenda kukosolewa.
 
Hahaha, Lizzy bwana! mi namuunga mkono AfroDenzi on this one! the greatest love of all is self love! Kama hujipendi utachukua chochote unacho pewa na kusema that is love. but ukijipenda mwenyewe, tena deeply,it sets the standards!
Mhhh so you guys are ganging up on me ehhh?

Nwy bado nakazia kwamba watu wanaohangaika na kujipenda wenyewe hawana watu wakuwapenda hivyo wanajiridhisha kwa kudai wanajipenda wenyewe.
 
*** hunijui, sikujui achana na mimi.
Source sredi ya wasiopenda kukosolewa.

hahahahahhaah lol
The Finest bana aliniacha hoi.

Haya nakujua unajua nakujua
kwa hiyo kuachana na wewe hiyo chora chini.
Haya bana ngoja nkuache ukatange na njia ukatafute wakukupenda..
 
hahahahahhaah lol
The Finest bana aliniacha hoi.

Haya nakujua unajua nakujua
kwa hiyo kuachana na wewe hiyo chora chini.
Haya bana ngoja nkuache ukatange na njia ukatafute wakukupenda..

Utajibeba ukishindwa ntakubeba.
 
Mhhh so you guys are ganging up on me ehhh?

Nwy bado nakazia kwamba watu wanaohangaika na kujipenda wenyewe hawana watu wakuwapenda hivyo wanajiridhisha kwa kudai wanajipenda wenyewe.

duhhhh
Ni bora kuhangaika kujipenda kuliku kuhanga kutafuta
wa kukupenda . Ni vipi ukimpata ambae unadhani anakupenda
halafu kumbe hakupendi alikuwa ana pretend tu anakupenda?
 

Tena hapo ndio kwenye point kabisaaa, naunga mkono hoja. Keep ur love alive.......
 
duhhhh
Ni bora kuhangaika kujipenda kuliku kuhanga kutafuta
wa kukupenda . Ni vipi ukimpata ambae unadhani anakupenda
halafu kumbe hakupendi alikuwa ana pretend tu anakupenda?

Life is all about risks, take 'em.
Kama sababu ya kuto penda ni uoga basi namuunga mkono Lizzy. ila kama ni just self love, umetosheka na wewe mwenyewe (bila kufungia love mlango in case one shows up) hapo sawa.
Roulette (kigeugeu)
 
I tell u Lizzy, be careful with ur heart.

When a heart is broken it does not make any noisy but it hurts for real.

Watch out and Be eyez

Life is all about risks, take 'em.
 
I tell u Lizzy, be careful with ur heart.

When a heart is broken it does not make any noisy but it hurts for real.

Watch out and Be eyez

How can any one break a heart that's not there?
 
am in love with desh desh..........guess who? (ukikosea tu nakusemea zile sadaka ulizoiba)!! LOL

Kakandoo you know very well mama mchungaji doesn't do guessing games. We funguka mwenyewe kabla sijakuembarass kwa kuwatumia wakaka wote PM kuwauliza kama unawapenda na wao wanakupenda.
 
Kama sababu ya kuto penda ni uoga basi namuunga mkono Lizzy. ila kama ni just self love, umetosheka na wewe mwenyewe (bila kufungia love mlango in case one shows up) hapo sawa.
Roulette (kigeugeu)
Hehehehehe . . . .
Afro utajijuuuu.
 
Kama sababu ya kuto penda ni uoga basi namuunga mkono Lizzy. ila kama ni just self love, umetosheka na wewe mwenyewe (bila kufungia love mlango in case one shows up) hapo sawa.
Roulette (kigeugeu)

yawii.
Si oni haja ya ku toka nje ya mipaka yangu kutafuta upendo.
Milango iko wazi na Muda ndo jibu ya kila swali. Si uoga wala kitu kama hicho.
ni Self confidence..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…