I m a computer Engineer but I can't even hack a facebook account

Mimi nimegraduate MIT mwaka jana, ni software engineer. Kwa sasa ni intern Twitter!
Je kuna account yoyote ya twitter unataka niihack??
Vipi unaweza kuhack JF?..
If possible hack yangu Mkuu
 
Naomba niseme ningekuwa IT mimi hata yule GOGOKI kule Twitter asingefua dafu....

Mungu nipe uzima tutakutana kwenye technology
 
University ipi Kati ya hizo:-
Universiti Malaya (UM) Universiti Kebangsaan Malaysia (UKM) Universiti Putra Malaysia (UPM) Universiti Sains Malaysia (USM) Universiti Teknologi Malaysia


Mbuzibee [emoji238]
Itakuwa NJOMBE Institute of KATERERO tu
 
Asante Mkuu njoo uichukue tu ikusaidie wewe. Waelewa waelewa tu
 
Mimi nimegraduate MIT mwaka jana, ni software engineer. Kwa sasa ni intern Twitter!
Je kuna account yoyote ya twitter unataka niihack??

Hack ya kigogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…