Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
Hakuna tatizo...ni katika kutaka kujuana zaidi rafiki yangu....nisamehe kama nimekukwaza....naomba nisiwe mtu wa kukuharibia ijumaa yako...ignore my question....Respect sana mkuu...
Kwani nimekujibu wewe? Mbona una kinyumenyume? We utakuwa she tu, ur accent can tell!! Well done
Hakuna tatizo...ni katika kutaka kujuana zaidi rafiki yangu....nisamehe kama nimekukwaza....naomba nisiwe mtu wa kukuharibia ijumaa yako...ignore my question....Respect sana mkuu...
Sijamind sanaa, nilitaka kujua tu kama kuna tatizo some where hadi kufikia kutak kujua jinsia yangu, maana kwenye thread hatukuzungumzia kuhusu jinsia.. Pengine labda ulijua jinsia yangu na ulitaka tu nifedheheke,yote yanawezekana.. Kuhusu kuniaribia mood uwa naamua mwenyewe,I know psychology
Kweli Kunguru Muoga hukombiza bawa lake.umeulizwa kuna tatizo maelezo meengi
Kwani nimekujibu wewe? Mbona una kinyumenyume? We utakuwa she tu, ur accent can tell!! Well done
Umetumia Vigezo gani!!!!!!!!!!!!
nahisi kuna mabebs wa ukwee...wakareeeeez umewaacha
Jestina Joji mbebs mkareeez kuliko wote maUK huko akifuatiwa na Mbuta Nanga halafu Starlisha aka Chagga Barbie anafunga dimba.
Mimi sio muoga bali ni muungwana...sikuuliza swali kwa nia mbaya ila baada ya kuuliza nikagundua nimefanya kosa maana ndugu yangu warumi anaonekana kukwazika....Naapa sitakaa nimuulize tena mtu jinsia yake...
mie niulize kiroho swafi...........
Jombaa hapo kati kwenye list yako kaka yako niko hooooiii.
Mimi sio muoga bali ni muungwana...sikuuliza swali kwa nia mbaya ila baada ya kuuliza nikagundua nimefanya kosa maana ndugu yangu warumi anaonekana kukwazika....Naapa sitakaa nimuulize tena mtu jinsia yake...
Uliuliza jinsia yangu,nikakuuliza kuna tatizo? Hukunipa jibu la swali langu directly.. Kuuliza sio kosa ila tatizo ni namna ya jins ulivyouliza tu,sidhan kama palikuwa mahali pake,ila kila kitu kipo sawa
Walahi Mbuta Nanga si mzima huyu! Halafu sijui nani tu huwa anampiga hizo picha....