I make it rain....hodi hodi wana JF

I make it rain....hodi hodi wana JF

Jamani mi ni mgeni humu, naomba kukaribishwa rasmi
Don mihela karibu bana,kanuni na masharti uzingatie sio unajitia una hela halafu uanze kutongoza hovyo humu....we are watching you.....tuko gado kulinda mali zetu na ujue humu ndani kila mtu ana wake....okei?
 
Last edited by a moderator:
Nimekusoma mkuu, kanuni na masharti yatazingatiwa...pamoja, thanx!
 
Kwa hiyo wewe ndo una mihela sana au? anyway karibu sana!
 
"Make it rain" if used otherwise, is a Luciferian belief which refers to the devil
showering ones material life with posessions and lust.
 
Back
Top Bottom