thank you cpk for your good advice,i really appreciate it! Sijawah kujua kwnn,labda sababu nimeishi huko sijawah kuwapenda
Nimekuelewa, ila usifunge kabisa milango kwa hawa majirani zetu, huwezi kujua mchaga huyoooo anakuja, hahahaaa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
thank you cpk for your good advice,i really appreciate it! Sijawah kujua kwnn,labda sababu nimeishi huko sijawah kuwapenda
Mm ni msichana wa miaka 25,natafuta mume ambae ameokoka awe na sifa zifuatazo:
1.Ameokoka na kuzaliwa mara ya pili
2.Mwenyehofu ya Mungu,mkweli,mwnye mapenzi ya dhati
3.awe ambaye hajawahi kuishi kinyumba na mwnamke yeyote,asiwe na mtoto
4.awe na kazi inayomudu kutunza familia
5.awe tayari kutofanya mapenzi hadi ndoa.
6.awe tayari kupima afya yake kila baada ya miezi mitatu
7.mweusi wastani,kabila lolote ila asiwe mchaga,mrefu wastani si mnene si mwembamba,awe wa dhehebu lolote la kipentekoste kama upo tayari jitokeze ntakupm!
Sifa zangu,
elimu ya diploma,si mfupi wala si mrefu,mweupe kiasi,mkali kwa asili nisiependa ujinga,najiheshimu sana,mchamungu na mwnye mapenzi ya dhati
haaaa haaaa haaa ebana daaah wewe ni mkali huna haja ya kufuga mbwa mpaka hapo gud its not simple kama anavyo dhaniPole dada, it does not work like that. Mme hachaguliwi hivyo, ukitaka kumaintain hivyo vigezo utakufa bila kuolewa. Kama wewe ni mcha Mungu kwanini hujamwachia Mungu akupe aliyekuandalia badala yake unampangia Mungu aina ya mme unayemtaka. Eti unachagua hadi rangi? Suppose Mungu kakuandalia mzungu? Sugua goti dada, mwambie Mungu unataka kuolewa sasa. Kama imani yako ni haba basi ondoa vigezo and allow any opportunity around you.
tehe tehe tehe umeona eeeeeh...she is kidding, wajameni, eti asiwe mchaga kwani WACHAGA sio watu
Yesu alisema ndege wa angani wana chill kwenye miti mchana kutwa, hawaendi kazini, wala shambani, wala popote zaidi ya kuvinjari. Na Mungu anawalisha anyway, sembuse nyie binadamau. Yesu alisema hivyo, sio?awe na kazi inayomudu kutunza familia
Dhambi ya ubaguzi dhidi yetu wachaga, nalitoa chozi kwa Mungu akunyime mme mpaka utakapotuomba radhi. Uwe mpweke, Usongwe na mawazo mpaka siku utakapotubu.
Nani alikudanganya Mungu aliyependa watu wote anakukubali eti "mlokole - born again" mbaguzi. Unathubutu kujiita umeokoka? Chezeya Mungu wewe??
Njoo kaunta tunywe biya wewe, we ni mmataifa mwenzetu huna lolote.....
Mm ni msichana wa miaka 25,natafuta mume ambae ameokoka awe na sifa zifuatazo:
1.Ameokoka na kuzaliwa mara ya pili
2.Mwenyehofu ya Mungu,mkweli,mwnye mapenzi ya dhati
3.awe ambaye hajawahi kuishi kinyumba na mwnamke yeyote,asiwe na mtoto
4.awe na kazi inayomudu kutunza familia
5.awe tayari kutofanya mapenzi hadi ndoa.
6.awe tayari kupima afya yake kila baada ya miezi mitatu
7.mweusi wastani,kabila lolote ila asiwe mchaga,mrefu wastani si mnene si mwembamba,awe wa dhehebu lolote la kipentekoste kama upo tayari jitokeze ntakupm!
Sifa zangu,
elimu ya diploma,si mfupi wala si mrefu,mweupe kiasi,mkali kwa asili nisiependa ujinga,najiheshimu sana,mchamungu na mwnye mapenzi ya dhati
Mm ni msichana wa miaka 25,natafuta mume ambae ameokoka awe na sifa zifuatazo:
1.Ameokoka na kuzaliwa mara ya pili
2.Mwenyehofu ya Mungu,mkweli,mwnye mapenzi ya dhati
3.awe ambaye hajawahi kuishi kinyumba na mwnamke yeyote,asiwe na mtoto
4.awe na kazi inayomudu kutunza familia
5.awe tayari kutofanya mapenzi hadi ndoa.
6.awe tayari kupima afya yake kila baada ya miezi mitatu
7.mweusi wastani,kabila lolote ila asiwe mchaga,mrefu wastani si mnene si mwembamba,awe wa dhehebu lolote la kipentekoste kama upo tayari jitokeze ntakupm!
Sifa zangu,
elimu ya diploma,si mfupi wala si mrefu,mweupe kiasi,mkali kwa asili nisiependa ujinga,najiheshimu sana,mchamungu na mwnye mapenzi ya dhati