kwa hiyo wachagga hawjaokoka?
nyie ndo wale wale waliosema hakuna kitu chema chaweza tokea nazareti.
tambua ya kwamba kabla injili ya Yesu Kristo kuja Africa babu zetu walikuwa wanaabudu wasichokijua na kazi ya mikono yao(sanamu) lakini baada ya KWELI(Neno) kuhubiriwa kwa wazee wetu wa wakati huo waliikubali na kuiamini injili, wakaziacha njia zao mbaya na ibada ya kuabudu kisicho Mungu. na napenda nikutaarifu kama kuna eneo ambalo injili ilipokelewa bila upinzani mkubwa ni eneo la kilimanjaro na kama huaamini jaribu kufuatilia vizuri.na swala la kuwa wachagga wakiokoka hawaachi mila zao hilo sikubaliani nawe hata kidogo, inaelekea aliyekueleza jambo hili hajuia alichokuambia, ukiifahamu kweli, kweli itakuweka huru na haitakupa shida kushirikiana na mchaga kwani biblia inasema mtu akiwa ndani ya Kristo amekuwa kiumbe kipya