I need a childfree woman for a childfree marriage

I need a childfree woman for a childfree marriage

Mimi ni kijana wa miaka 27 - 33. (hatua ya kujitambua na kuwa mwanaume kutoka mvulana)

Nimeajiriwa katika sekta binafsi. Ajira ya kimkataba.

Naishi Dar es salaam ila ni mwenyeji wa Mbeya.

Nahitaji 'a childfree woman' ili tupange 'a childfree marriage'.

Sina TATIZO LOLOTE ila nimeamua tu hivyo, kwahiyo sitaki uje PM kwa maswali ya kijinga-jinga wala kuja kunishauri sijui niende hospitali gani, KOMA!.

Niepushe na maswali ya kijinga na ushauri ambao sijauomba na mimi ntakushkuru sana kwa hilo. Kama unakuja PM basi uje kwa sababu uko interested na DHUMUNI la hii POST.

Mwanamke nnaemtaka:-
1. Awe anaelewa na yuko interested na childfree thing.
2. Asiwe aliwai kuzaa au kuwa na mtoto.

Mengine tutazungumza PM.

NAWATAKIA SIKU NJEMA.
Maelezo umeandika mengi mno wee ungesema tu unahitaji mwanamke "tasa" uowe ungewaona wengi wanakujia huko PM. Sasa sijui childfree huku kwetu wengi hawajui na utahangaika sana kuwapata. Wee andika moja kwa moja unatafuta MWANAMKE ASIEZAA a.k.a TASA wa kuoa.
 
Maelezo umeandika mengi mno wee ungesema tu unahitaji mwanamke "tasa" uowe ungewaona wengi wanakujia huko PM. Sasa sijui childfree huku kwetu wengi hawajui na utahangaika sana kuwapata. Wee andika moja kwa moja unatafuta MWANAMKE ASIEZAA a.k.a TASA wa kuoa.
Asante kwa kuchangia kwenye uzi huu.

Asante kwa ushauri.

1. Ni kweli kwamba baadhi ya wanawake/waschana hawaelewi hii kitu ipoje lakini kuna idadi ya wanawake wanaoelewa hili suala vizuri.
2. Kuwa tasa na kuwa childfree ni vitu viwili tofauti boss. Childfree is a choice lakini tasa ni biological limitation.
 
Mimi ni kijana wa miaka 27 - 33. (hatua ya kujitambua na kuwa mwanaume kutoka mvulana)

Nimeajiriwa katika sekta binafsi. Ajira ya kimkataba.

Naishi Dar es salaam ila ni mwenyeji wa Mbeya.

Nahitaji 'a childfree woman' ili tupange 'a childfree marriage'.

Sina TATIZO LOLOTE ila nimeamua tu hivyo, kwahiyo sitaki uje PM kwa maswali ya kijinga-jinga wala kuja kunishauri sijui niende hospitali gani, KOMA!.

Niepushe na maswali ya kijinga na ushauri ambao sijauomba na mimi ntakushkuru sana kwa hilo. Kama unakuja PM basi uje kwa sababu uko interested na DHUMUNI la hii POST.

Mwanamke nnaemtaka:-
1. Awe anaelewa na yuko interested na childfree thing.
2. Asiwe aliwai kuzaa au kuwa na mtoto.

Mengine tutazungumza PM.

NAWATAKIA SIKU NJEMA.
Hii nchi ngumu sana.
 
Mbombo nkafu lelo nkamu gwangu! Jamani Homeboy kweli hutaki watoto? Ungejua ukiwa na watoto ni rahaaaaa
 
mwendo wa kuchata mbususu tu, unanyofoa ovaries unamwaga ndani
nakuelewa sana mtoa mada, hakuna stress
 
Mimi ni kijana wa miaka 27 - 33. (hatua ya kujitambua na kuwa mwanaume kutoka mvulana)

Nimeajiriwa katika sekta binafsi. Ajira ya kimkataba.

Naishi Dar es salaam ila ni mwenyeji wa Mbeya.

Nahitaji 'a childfree woman' ili tupange 'a childfree marriage'.

Sina TATIZO LOLOTE ila nimeamua tu hivyo, kwahiyo sitaki uje PM kwa maswali ya kijinga-jinga wala kuja kunishauri sijui niende hospitali gani, KOMA!.

Niepushe na maswali ya kijinga na ushauri ambao sijauomba na mimi ntakushkuru sana kwa hilo. Kama unakuja PM basi uje kwa sababu uko interested na DHUMUNI la hii POST.

Mwanamke nnaemtaka:-
1. Awe anaelewa na yuko interested na childfree thing.
2. Asiwe aliwai kuzaa au kuwa na mtoto.

Mengine tutazungumza PM.

NAWATAKIA SIKU NJEMA.
Afu hakunaga umri wa 28 hadi 33 lazima utakuws mwanga
 
Back
Top Bottom