- Thread starter
- #41
Asante. Wewe unaelewa ninachozungumzaNakuelewa sana, huku Afrika hii kitu bado, tumeaminishwa kuwa lengo la ndoa ni kupata watoto, kumbe sio kweli!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante. Wewe unaelewa ninachozungumzaNakuelewa sana, huku Afrika hii kitu bado, tumeaminishwa kuwa lengo la ndoa ni kupata watoto, kumbe sio kweli!
Maelezo umeandika mengi mno wee ungesema tu unahitaji mwanamke "tasa" uowe ungewaona wengi wanakujia huko PM. Sasa sijui childfree huku kwetu wengi hawajui na utahangaika sana kuwapata. Wee andika moja kwa moja unatafuta MWANAMKE ASIEZAA a.k.a TASA wa kuoa.Mimi ni kijana wa miaka 27 - 33. (hatua ya kujitambua na kuwa mwanaume kutoka mvulana)
Nimeajiriwa katika sekta binafsi. Ajira ya kimkataba.
Naishi Dar es salaam ila ni mwenyeji wa Mbeya.
Nahitaji 'a childfree woman' ili tupange 'a childfree marriage'.
Sina TATIZO LOLOTE ila nimeamua tu hivyo, kwahiyo sitaki uje PM kwa maswali ya kijinga-jinga wala kuja kunishauri sijui niende hospitali gani, KOMA!.
Niepushe na maswali ya kijinga na ushauri ambao sijauomba na mimi ntakushkuru sana kwa hilo. Kama unakuja PM basi uje kwa sababu uko interested na DHUMUNI la hii POST.
Mwanamke nnaemtaka:-
1. Awe anaelewa na yuko interested na childfree thing.
2. Asiwe aliwai kuzaa au kuwa na mtoto.
Mengine tutazungumza PM.
NAWATAKIA SIKU NJEMA.
Asante kwa kuchangia kwenye uzi huu.Maelezo umeandika mengi mno wee ungesema tu unahitaji mwanamke "tasa" uowe ungewaona wengi wanakujia huko PM. Sasa sijui childfree huku kwetu wengi hawajui na utahangaika sana kuwapata. Wee andika moja kwa moja unatafuta MWANAMKE ASIEZAA a.k.a TASA wa kuoa.
Hii nchi ngumu sana.Mimi ni kijana wa miaka 27 - 33. (hatua ya kujitambua na kuwa mwanaume kutoka mvulana)
Nimeajiriwa katika sekta binafsi. Ajira ya kimkataba.
Naishi Dar es salaam ila ni mwenyeji wa Mbeya.
Nahitaji 'a childfree woman' ili tupange 'a childfree marriage'.
Sina TATIZO LOLOTE ila nimeamua tu hivyo, kwahiyo sitaki uje PM kwa maswali ya kijinga-jinga wala kuja kunishauri sijui niende hospitali gani, KOMA!.
Niepushe na maswali ya kijinga na ushauri ambao sijauomba na mimi ntakushkuru sana kwa hilo. Kama unakuja PM basi uje kwa sababu uko interested na DHUMUNI la hii POST.
Mwanamke nnaemtaka:-
1. Awe anaelewa na yuko interested na childfree thing.
2. Asiwe aliwai kuzaa au kuwa na mtoto.
Mengine tutazungumza PM.
NAWATAKIA SIKU NJEMA.
sawaHii nchi ngumu sana.
Ni kweli ndugu. Ila si kwa kila mtu.Mbombo nkafu lelo nkamu gwangu! Jamani Homeboy kweli hutaki watoto? Ungejua ukiwa na watoto ni rahaaaaa
Nini kinakufanya useme hivyo ? Mimi nahitaji kuoa sio kuchezea kama wewe unavyohisi. Ila nahitaji mwanamke ambae ni childfree by choice
Afu hakunaga umri wa 28 hadi 33 lazima utakuws mwangaMimi ni kijana wa miaka 27 - 33. (hatua ya kujitambua na kuwa mwanaume kutoka mvulana)
Nimeajiriwa katika sekta binafsi. Ajira ya kimkataba.
Naishi Dar es salaam ila ni mwenyeji wa Mbeya.
Nahitaji 'a childfree woman' ili tupange 'a childfree marriage'.
Sina TATIZO LOLOTE ila nimeamua tu hivyo, kwahiyo sitaki uje PM kwa maswali ya kijinga-jinga wala kuja kunishauri sijui niende hospitali gani, KOMA!.
Niepushe na maswali ya kijinga na ushauri ambao sijauomba na mimi ntakushkuru sana kwa hilo. Kama unakuja PM basi uje kwa sababu uko interested na DHUMUNI la hii POST.
Mwanamke nnaemtaka:-
1. Awe anaelewa na yuko interested na childfree thing.
2. Asiwe aliwai kuzaa au kuwa na mtoto.
Mengine tutazungumza PM.
NAWATAKIA SIKU NJEMA.