I need a date for this Friday am so lonely.

I need a date for this Friday am so lonely.

dah samahani nimekutumia pm nikajua unataka basha wakukupumulia kisogoni nikajua nimepata tender
ahahaaaa kuna watu mmevurugwa humu???????????
 
ngoja nioge zangu niende kwenye kukesha kwenye maombi mlima wa moto mie!
huyu shetani ashindwe hapa! ukinibaka?
 
ngoja nioge zangu niende kwenye kukesha kwenye maombi mlima wa moto mie!
huyu shetani ashindwe hapa! ukinibaka?

Haya mama uombe vema na utende yaliyo mema, ila Mimi sio mbakaji na kwanini nibake na watoto wakike Wengi hivi ni ulimi wako tuu.
 
ahaaaa ujana una mambo huu mimi sisubutu kutoka na mtu stranger usiku kwa kweli! dunia hii ?

Wacha uoga, nimemwambia best yako hapo mje wote ili kuwe na Amani zaidi.
 
Hii sio tamaa bana ni offer for a drink out Duuuh kweli bongo pagumu.

Sasa kama bongo pagumu nenda Nairobi labda.. kwanza mpaka sasa hujapata tu pm?? Bora twende wote mlima wa moto tukakeshe..tukifika huko loneliness yote kushney.. Smile mpitie huyu kondoo aliyepotea
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom