SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 3,109
- 6,323
- Thread starter
- #381
Mwanaume we ni mbeya dira inakuhusu sooonFanya maombi kama bado hujausoma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanaume we ni mbeya dira inakuhusu sooonFanya maombi kama bado hujausoma
BadoSawa umetembea 18/18 page
kedekedeSawa wewe kede kede wa jf sio wewe umeomba hela yakifurushi saivi piga nyota macho yako weka oo # ufumbue macho
Ndio mwaya mi wizara ya elimu sweetcandyBinti lakini sijui kama ni kigoli huyu mdada hapa ni unique flower usiwe na shida yakusoma miandiko ya watu kwani wewe ni wizara ya ulinzi naukaguzi
We km Mimi 🤣Tayana-wog, Lamomy naomba tafsiri hapa. Sijaelewa hata neno moja kumbe kiswahili kigunu hivi
🤣Ana kitu, atafika mbali sana
ShalomShalom mama pastor.
Mmh huu baada ya kujibuwa nishauelewa🤣Fanya maombi kama bado hujausoma
Nakupenda tu my SweetyCandy ❤️❤️❤️Mwanaume we ni mbeya dira inakuhusu sooon
Ukikutwa page za udaku unalikataa😉Shalom
Hili jina hili
Anyway acha nilipokee tu halina baya🤣🤣
🤣🤣🙌Huyo katishaUkikutwa page za udaku unalikataa😉
Kuna pastor aliwaambia washirika, mambo ya bwana Yesu asifiwe mwisho kanisani, sio unanikuta town unaaanza bwana Yesu asifiwe. Wakati mwingine niko na deal unataka kuniharibia? Nitajibu tu poa.