I need a friend to text me love me and share good things

I need a friend to text me love me and share good things

Mama Mwana hi , read this msg eti kwanini uombe hela ya king'amuzi badala ada ya mtoto au hela ya kufungua kitu chakufanya halafu kirufushi kidogo sana 17,000 tsh au ni dola aih una ID ngapi
 
  • Masikitiko
Reactions: 511
Binti lakini sijui kama ni kigoli huyu mdada hapa ni unique flower usiwe na shida yakusoma miandiko ya watu kwani wewe ni wizara ya ulinzi naukaguzi
Ndio mwaya mi wizara ya elimu sweetcandy
Niko kazini mwaya
 
  • Kicheko
Reactions: 511
Shalom
Hili jina hili
Anyway acha nilipokee tu halina baya🤣🤣
Ukikutwa page za udaku unalikataa😉
Kuna pastor aliwaambia washirika, mambo ya bwana Yesu asifiwe mwisho kanisani, sio unanikuta town unaaanza bwana Yesu asifiwe. Wakati mwingine niko na deal unataka kuniharibia? Nitajibu tu poa.
 
Ukikutwa page za udaku unalikataa😉
Kuna pastor aliwaambia washirika, mambo ya bwana Yesu asifiwe mwisho kanisani, sio unanikuta town unaaanza bwana Yesu asifiwe. Wakati mwingine niko na deal unataka kuniharibia? Nitajibu tu poa.
🤣🤣🙌Huyo katisha
Mi ma mtumishi inatosha
Mi sio mchungaji ndo maana
 
  • Kicheko
Reactions: 511
Back
Top Bottom