i need a friend

i need a friend

misorgenes

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2010
Posts
206
Reaction score
50
natafuta rafiki jaman, wa kike, vigezo: umri kati ya 22-28, mwanafunzi au mfanyakazi, na anayependa utani! aliye interested ani PM!
 
natafuta rafiki jaman, wa kike, vigezo: umri kati ya 22-28, mwanafunzi au mfanyakazi, na anayependa utani! aliye interested ani PM!

We ni wa jinsia gani?...Weka sifa zako, wako wengi desparate hapa!
 
labda wa kusaga unga au?????????

sa izo mambo zimetoka wap? au we rafiki ulionao wa jinsia moja mnafanyaga izo mambo eeeeh? afu watu bwana nnajifanya izo mada mnazikandiaaaa wakat hapa unaianzisha mwenyew! " we kama huna vigezo tazama tu, sio lazima ureply!
 
teh teh nimesoma vyema naona km i dume inatafuta ....
poa count on me
m yr frend...labda km unitak unimwage mwenyewe bt for me by lookng ya avatar ..NIMEKUKUBALI...
UMENIKUBALIA?UTACHEZA NA MIM?
 
teh teh nimesoma vyema naona km i dume inatafuta ....
poa count on me
m yr frend...labda km unitak unimwage mwenyewe bt for me by lookng ya avatar ..NIMEKUKUBALI...
UMENIKUBALIA?UTACHEZA NA MIM?

Doori dori
dori samwela
SHILIngi ya baba Nyerere katikati ina mwenge. .

Sema mwananaume mwenzangu. ..
 
Doori dori
dori samwela
SHILIngi ya baba Nyerere katikati ina mwenge. .

Sema mwananaume mwenzangu. ..

ukut ukut ...wameme wamemeeee....ukija upepo watetema....watetema.....utacheza na mimi?
 
Ni Urafiki tu kweli? mbona kuna vi-element zaidi ya Urafiki hapo? weka wazi jamaa yangu!!
 
Ni Urafiki tu kweli? mbona kuna vi-element zaidi ya Urafiki hapo? weka wazi jamaa yangu!!

jaman asi mwenzio kakwambia ye demu ...teh teh
mi nshajipeleka niwe wake rafiki labda anikatae mwnyewe
 
natafuta rafiki jaman, wa kike, vigezo: umri kati ya 22-28, mwanafunzi au mfanyakazi, na anayependa utani! aliye interested ani PM!

niku pm??
64787130_rose.jpg
 
Sipati picha Maria Roza mtakapo kutana afua jamaa aanze kula kucha, na kuchimba mchanga kwa kisigino maana kwa hii style yake i get worry!!!
 
sa izo mambo zimetoka wap? au we rafiki ulionao wa jinsia moja mnafanyaga izo mambo eeeeh? afu watu bwana nnajifanya izo mada mnazikandiaaaa wakat hapa unaianzisha mwenyew! " we kama huna vigezo tazama tu, sio lazima ureply!

Kaka/dada mbona umekuwa mkali hivi? subiri uzoee jamvi kidogo. Utakufa kwa presha bure.
 
teh teh nimesoma vyema naona km i dume inatafuta ....
poa count on me
m yr frend...labda km unitak unimwage mwenyewe bt for me by lookng ya avatar ..NIMEKUKUBALI...
UMENIKUBALIA?UTACHEZA NA MIM?

thanx!
 
Back
Top Bottom