I need a friend

I need a friend

Mm ni mkristo age yangu ni 45. na nina mtoto 1 ana umri wa miaka 21. cjawahii kuoa. nimfayakazi unicef. naishi dar mostly. ila shughuli nyingi nafanyia italy na mwanza. je ninafaaa?
 
Ingawa mimi ni under 40 lakini.....

Count on me through thick and thin
A friendship that will never end
When you are weak, I will be strong
Helping you to carry on
Call on me, I will be there
Don't be afraid
Please believe me when I say
Count on....

 
Last edited by a moderator:
Hatari........dating site!!\inaweza kuwa biashara nzuri. wapi Masikini jeuri......tutengeneze datuing site mkuu.
 
Asanteni kwa mawazo na ushauri jioni njema
 
....wapi Kimey? ha!haha!haa! embu acheni kunipeperushia kikingwe wangu bana......!:smile-big:
Kwahiyo hommie na ww ulikuwa unatafuta? au umejisikia kutafutika.........mtu kapiga wrong number, ukaamua uanzishe mazungumzo tu hata kama hukupigiwa wewe.
 
samahani bibie habari za mchana:smile-big::smile-big: mwawzo yalikuwa mbali sana ngoja nikusuuze roho kabisa kwanza
64787130_rose.jpg

mmhh afadhali hata umefanya hivyo..
maana leo ilikuwa nikuangukue mpaka uone rangi zote hahaaha lol
we huchokaji kunichokoza lol

nway me like that flower so much thanx..
valentine come so early haahhahahaahah lol
 
acha niangalie bethi satifiketi yangu kama nishatinga 40. brb
 
Back
Top Bottom