I need a friend

I need a friend

frnd jamani mbona ivo?iyo kichenijf party mbaya! Waambie walegeze kabsa ili tupate wenza jaman.

mmmhh
mbona nyie hamuachiagi kamba??
hapa ngoma droo..
KitchenJF party bado haijaanza mpaka kieleweke hahahah lol:A S-fire1:
 
Du we unataka fataki inaonekana umefulia unatafuta wa kupumzikia huku JF.... kila la heri
 
salaam Dinam, nimeona maombi yako , lakini si umesema unatafuta Rafiki ? na kichwa cha habari si ndio kiko hivyo?
kumbukeni kuna rafiki na mpenzi mimi nahitaji mpenzi naona mmeshaanza kunishambulia mawazo yamekwenda mbaliiiiiiiii
 
Back
Top Bottom