I need a friends from Tanzania

TUNAOMBA MAGUFULI ALEGEZE KIDOGO VINGNEVYO MACHIZI WATAONGEZEKA BONGOLAND.. MAANA CHIZI WA KWANZA HUYU HAPA, AMEUZA LAPTOP, AKAINGIA KWENYE KUKU WA KIENYEJI LAKINI AMEDUNDA.
AMEWEHUKA NA SASA ANATUMIA UTAPELI..
Uwiiiiiiii jamani wabongo heshima zenu
 
Akikumbuka kiswahili atatupa mrejesho wa biashara yake ngoja tusubirie itakuwa kumbukumbu zinaingia na kutoka [emoji28][emoji28]
Hahahahahahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa uwiiiiiii jamani huyo apelekwe hospital
 
Aiseee nimesoma comments na bado naendelea kucheka.......watanzania hatuna dogo hahagahahahahahahaaaa BIGstallion naomba uwe unanishtua sehemu kama hizi maana ni full raha

Bwahahahahaha ntafany ivo,.. Kuna Uzi wa uyu mdau anauza laptop umeuona??
 
Kabisa




Kumbukumbu zimerudi sasa anajua kiswahili [emoji26]



Sasahivi yupo vizuri, I really like him [emoji6]
Hahahahahahahahahaaaaaaaaa aiseeeeeee mpaka kumbukumbu zimerudi........baba hii ndo jf next time uende english course ndo uje tena hapa KIBOD3
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…