Tajirimsomi
JF-Expert Member
- Jan 12, 2017
- 4,824
- 5,587
Hahaha hicho kinyamwezi kutoka unyamweziniSi ungeandika kiswahili tu ueleweke..... kidhungu gani kibovu hivi😡 Ngoja waje
Huyu bila shaka yupo tandale manzese au kariakooBora angeandika kwa herufi ndogo kupunguza makali!
Hahahahahahahahaaaaaa my ribs yani nacheka mpaka machozi khaaa
Hahahahahhahahaahhahaaaaaa hana lolote huyo alikuwa anajifundisha english through jf......na watu wakampa vyakeameleft since young bado anaongea broken ....
Kweli huwezi kuielewa na hio sign yako mkuu, the best of revenge is to forgiveness ha ha ha kweli nyani haoni kunduleking kibo lugha lugha bhana hebu tu endelea na wa huko hii lugha sijaielewa kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nic answerNo one in America can write such an awkward English!.
Kwa hyo ulikuwa unatafta kiki??Hahahahahaha nimefurah huu uzi kuwa na wachangiaji wengi ndo uzi wangu ambao nasema umekiki
Unatafuta kiki kwa pikipiki hahahahahahahaaaa my ribs na tumejua kukunyoosha mxiewwwwwwHahahahahaha nimefurah huu uzi kuwa na wachangiaji wengi ndo uzi wangu ambao nasema umekiki