I need a girl now

I need a girl now

Aminat

Member
Joined
Oct 15, 2011
Posts
10
Reaction score
3
Ni muda mrefu nimekuwa mwanachama wa CHAPUTA lakini sasa nimeamua kujitoa chamani na kutafuta demu.sifa za ninayemtaka: hata akiwa kicheche sio mbaya ilimradi awe tayar kutulia, awe mweusi sana,elimu isiyozidi la saba, naamini ntampata .
 
are you a girl looking for a girl or a male looking for a girl? jieleze vizuri watu wakusaidie.
 
khaaa...nilivyoikwapua thread nikitaka kujua shogangu kilichokupata ni nini......kumbe majina yafanana....
hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa yani mi mwenyewe nimestukaje leo loh!
 
We achana na mademu Endelea zako na pull haina gharama.
 
Nataka nioe ili na mimi niwe na watoto. Ktk puli sitapata watoto mkuu
 
Back
Top Bottom