I need A Girl : Where are you Cute Girl blessed with Inner & Outer Beauty?!!.

Must spiik wani ofu sachi langueji, swahili, kikristo endi spanish. Loohh. Kip oni weitin'gi ma bradha. Dhe byutifu wani ezi noti yeti kemu ini yua inibobo. Sori, mai langeiji izi brokeni endi anfiti hia.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sori bradha go endi repeya yua langueji theni cam baki againi okayi??
 
Mmmh. You have good English.. Hapo tu ungenikamata. Ila sasa kama unafuatwa na wadada bado tu hujaona utaona lini? Unatongozwa na wadada bado hutongozeki basi jitahidi kuzunguka na kuangalia, open ur eyes.. And be a man enough to approach the woman.. Isitoshe unaowataka below 28 wapo wengi tuu. Seems like unajiamini sana wafate achana na wa kwene mitandao ambao wakija bado huoni.. Now use face to face techniques
 
yaani nimemshangaa shosti huyo anaemtaka sio wa dunia hii
 
yaani nimemshangaa shosti huyo anaemtaka sio wa dunia hii
Hahaha, anajua yeye. Nadhani awafate uso kwa uso hakupaswa kuwatafuta humu.. Mbona watu wapo na wanajielewa.. Huyu hana sifa za kutafuta mtu kwa njia ya mtandao kama jf. Tuko na fake IDs, so akikutana na wewe face to face anakua surprised sijui kichwani kwake amejiwekea mtu wa aina gani.. Nadhani awatafute kwa kuwaona itamsaidia.
 
kasema hadi wanaomtongoza wapo ila hawataki hajaona bado . jamaa ana dharaaaau? hata bure simtaki mamy wangu hata wewe sikushauri kabisa.aumbe wa kwake amsomeshe hadi hyo level ya masters anayotaka
 
hahaha mimi naamini kama mimi vile nipo JF na pia ninayemtafuta atakuwepo tu!!
 
kasema hadi wanaomtongoza wapo ila hawataki hajaona bado . jamaa ana dharaaaau? hata bure simtaki mamy wangu hata wewe sikushauri kabisa.aumbe wa kwake amsomeshe hadi hyo level ya masters anayotaka
duh kwa kunisema vibaya? sasa wataka wote wanichukie kwa maneno yako ya uongo?....kwani kusema kuwa huwa sitongozi kuna ubaya gani ilihali ni kweli?! dharau iko wapi hapo?! wabongo bana!!
 
Mwanaume anaetafuta mwanamke mtandaoni mabinti muogopeni sana. Wanenu watakua na msingi mbovu.
[HASHTAG]#mbwakoko[/HASHTAG]
 
Mwanaume anaetafuta mwanamke mtandaoni mabinti muogopeni sana. Wanenu watakua na msingi mbovu.
[HASHTAG]#mbwakoko[/HASHTAG]
acha kuwa na wivu wa kike jombaa..kwani mitandaoni walioko si hao hao unaokutana nao barabarani, bar na kanisani? wewe unafanya nini mtandaoni? kenge we
 
I am better than you could ever think or imagine!. The war is war no matter the technique used to fight the war!. Naamini kama mimi ninaenda kanisani na ninayekuwa barabarani nipo kwenye mtandao..so how can you tell i should not consider dating a girl from social network like JF?! ..Life is how we make and life is everywhere at everytime! . I propose something..can we meet face to face then?!
 
Kumbe unajua kiswahili[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Maki naongea kiswahili fasaha..kiingereza na kiispaniola pia..i think nimejieleza!!
 
Duh kingleeza jamani hadi raha au hii ni nyimboooo mkuu?[emoji20]
 
kasema hadi wanaomtongoza wapo ila hawataki hajaona bado . jamaa ana dharaaaau? hata bure simtaki mamy wangu hata wewe sikushauri kabisa.aumbe wa kwake amsomeshe hadi hyo level ya masters anayotaka
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
duh kwa kunisema vibaya? sasa wataka wote wanichukie kwa maneno yako ya uongo?....kwani kusema kuwa huwa sitongozi kuna ubaya gani ilihali ni kweli?! dharau iko wapi hapo?! wabongo bana!!
We jamaa uko vizuri sana kilugha.
Sikutarajia ungeongea kiswahili cha ndani ndani hivi(ilhali) baada ya kile kikristo chako.
Umesoma SKL nini mkuu?
 
We jamaa uko vizuri sana kilugha.
Sikutarajia ungeongea kiswahili cha ndani ndani hivi(ilhali) baada ya kile kikristo chako.
Umesoma SKL nini mkuu?
hahaha nimesoma kanumba tu ila kwa juhudi hahaah!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…