I need a kind girl

I need a kind girl

Dopi

Member
Joined
Feb 15, 2014
Posts
10
Reaction score
5
Mimi ni kijana,33 years,nafanyakazi,mrefu kiasi,sio mweusi sana,mkristo,napenda kuangalia sinema na kusafiri,mazoezi na real estate. Natafuta msichana wa miaka kati ya 24-32 awe mpole na mcheshi,asinywe bia,mkristo,rangi yyte,mrefu kiasi,elimu kuanzia diploma.
 
nimeprnda ulivosema unapenda real estates,,,ni hapo tuu tunapofanana
 
Wewe jamaa ni mjanja sana,hizo sifa zako za uongo ulizoweka hapo sijui unapenda real estates na nini na nini hakika utawaliza/utawakamata wengi!
 
Naendelea kupokea pm zenu jamani, wadada waliosirias na mapenzi mpoo!!?
 
Duh! Nimekosa sifa moja tu. Haya bana aso bahati habahatiki
 
Umekosa sifa ipi kwa hizo nilizotaja
 
Back
Top Bottom