Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wako serious Sheikh!Mkitapeliwa mnasema mitandao ya simu inatoa namba zenu kwa wahalifu.
Huyu atakuwa na gundu siyo bureNaona huu uzi umepooza sana mkuu
sio kauli nzuri kwa kweli so negative jaribu kuwa na kauli nzuri kwa watu sikumaanisha hivyo kwenye comment yangu kama unavyo zaniHuyu atakuwa na gundu siyo bure
Hahaa usichukulie serious kaka.Sometime we jokesio kauli nzuri kwa kweli so negative jaribu kuwa na kauli nzuri kwa watu sikumaanisha hivyo kwenye comment yangu kama unavyo zani
Ukame Kaka ukame.Mkitapeliwa mnasema mitandao ya simu inatoa namba zenu kwa wahalifu.
Wageni wa jiji watanaswa hapoKwa ME alie tayar kuwekwa friend zone uku akitumika kiuchumi Kwa kisingizio Cha kuonesha anajua kucare 😀
Hawa viumbe Ni manipulator hatariIla wanawake wanatembea na pesa kwa mfumo wa online bado kuzibadilisha na kuwa cash, imagine sasa hv kuna watu wameshapangwa huko 😂 tayari kwa kuanza kufanyiwa economic demage 🙌
Ze financial crises iz about to diminish value of natural gender attraction due to nation and international wether and climatic change of mens pockets caused by rise at the highest level of females desire 4 mane and gudlife 😭😭😭How are u happy?
Am ready to be ur friend and explore wat our connection has to oferr for the coming days. So where about in tz do u reside?