I NEED A WOMAN

Kaka ameshamaliza masomo ughaibuni dada zetu ndio wakati wenuu huu huyu ni Qatar msichanganye mafile kuna yule wachinaa cha msingi angalieni rate ya hela tuu kati ya yuang na hiyo ya qatar alafu piteni hiviii mkachukuee fomu ya maombii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vigezo vyote hivo alafu huna kazi mjomba, nani utampata usawa huu, au huyo mwanamke atakula hizo degree mzee???
 
Unatafuta nini haswa, mbona machangu wamejaa kibao hapo Dar? Kuna hao wasanii wa bongo muvi, bongo fleva, kina Wema, Aunt Ezekiel? Kila kona ya Dar machangu wamejaa tu.
 
Vipi amegusa umbo lako?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…