I NEED A WOMAN

I NEED A WOMAN

Kaka ameshamaliza masomo ughaibuni dada zetu ndio wakati wenuu huu huyu ni Qatar msichanganye mafile kuna yule wachinaa cha msingi angalieni rate ya hela tuu kati ya yuang na hiyo ya qatar alafu piteni hiviii mkachukuee fomu ya maombii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unatafuta nini haswa, mbona machangu wamejaa kibao hapo Dar? Kuna hao wasanii wa bongo muvi, bongo fleva, kina Wema, Aunt Ezekiel? Kila kona ya Dar machangu wamejaa tu.
 
Unaringaa sana ndio tatizo wala sikutakii heri eti unataka warefu sio wafupi hutaki mwanamke tegemezi unataka mwenye kazi yake nzuri so unataka utunzwe sindio hiyo ndio dalili eti hutaki mwanamke mwembamba unataka umbo namba nane na ujue hao wanatunzwa sio wanaumbo namba nane kihivi tu.
Au ndio unawataka ili wanaotunza hiyo migodi uhemee dhubutu???
Vipi amegusa umbo lako?
 
Back
Top Bottom