I need an older woman

I need an older woman

Joel360

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2013
Posts
986
Reaction score
657
Nina umri wa miaka 29.

Naishi Dar es salaam. Nimeajiriwa katika sekta binafsi.

Jamani mimi ni kama vile nina utofauti sana. Sivutiwi na waschana wa umri wangu kabisa. Naweza nikawa nae na nisihisi furaha yoyote ya kuwa katika mahusiano.

Ila nikiwa na mwanamke mwenye umri mkubwa nafurahi sana. Najihisi nipo katika mahusiano.

Wa mwisho kuwa nae tuliachana mwaka 2016. Kwa sababu alinidanganya hana mume kumbe ni mke wa mtu.

Sio kwamba nasema hivi kwa sababu ya pesa, labda nataka niwe Serengeti boy. Hapana. Sihitaji pesa ya mwanamke. Ninafanya kazi napata pesa.

Nikipata mwenye sifa zifuatazo nitafunga ne ndoa.
-Umri 35 - 45.
-Anajishughulisha na shughuli yoyote halali.
-Mnisamehe kwa hili: sipendi mwanamke mfupi sana.
-Dini yoyote
-Kabila lolote
-Elimu angalau ya form 4.

Narudia: Sihitaji pesa ya mwanamke, nina kazi yangu. Kwahiyo sisemi hivi kwa sababu ya pesa.
 
Umri wako mbona unasonga taratibu sana?
2013👇
Wapendwa ninajitokeza kwenu, kwa mara ya kwanza kuwaeleza kuhusu swala hili serious. natafuta girlfriend ambaye atanifaa mwenye sifa zifuatazo:-
1.awe na umri kuanzia 18-24 (mimi nina umri wa miaka 25)
2021👇
Nina umri wa miaka 29.
 
Mkuu huo umri wa mwanamke wako kuwa na 45yrs hapo unataka wa mapaenzi tu au mama wa kukuzalia na watoto? Maana kuanzia 45yrs sio umri salama kwa uzazi wengi wanafungia kizazi hapo!
Pia kwa range ya umri huo uloutaja uwezekano ni mkubwa sana kupata mke wa mtu!
 
Mkuu huo umri wa mwanamke wako kuwa na 45yrs hapo unataka wa mapaenzi tu au mama wa kukuzalia na watoto? Maana kuanzia 45yrs sio umri salama kwa uzazi wengi wanafungia kizazi hapo!
Pia kwa range ya umri huo uloutaja uwezekano ni mkubwa sana kupata mke wa mtu!
Mi nataka mke. Suala la watoto ni suala lingine linalohitaji mjadala wake.

Si wote ni wake za watu kaka!
 
Back
Top Bottom