I need an older woman

I need an older woman

Umri wako mbona unasonga taratibu sana?
2013👇

2021👇
Achana na vitu visivyo na maana.

Hayo mavitu ya 2013 yana faida gani kwako ?

2013 rais alikuwa Kikwete, Leo rais ni S.S.Hassan.
2013 sukari robo ilikuwa inauzwa 400 leo 800.
2013 blackberry zilikuwa ndio simu, leo kuna mi-smartphone ya mchina kibao. Blackberry lishakuwa kopo.

Mambo ya 2013 subiri wenzio wa 2013 myajadili kama unaona yana faida.
 
Halafu wewe mama wawili, nilishakufataga mpaka PM kukutongoza ukajishaua kunikataa, leo nimekuja kutafuta mchumba nakuona.

Usirudie tena
 
Achana na vitu visivyo na maana.

Hayo mavitu ya 2013 yana faida gani kwako ?

2013 rais alikuwa Kikwete, Leo rais ni S.S.Hassan.
2013 sukari robo ilikuwa inauzwa 400 leo 800.
2013 blackberry zilikuwa ndio simu, leo kuna mi-smartphone ya mchina kibao. Blackberry lishakuwa kopo.

Mambo ya 2013 subiri wenzio wa 2013 myajadili kama unaona yana faida.
Ume panic badala ya kutoa majibu
 
Back
Top Bottom