Tulia nikuuze best.
Mtoa mada, huyu Kongosho ana mahela, anaendesha mark 2 rula (gx90), na kaagiza boonge la mgari linaitwa nissan march aka baby walker. Kapangisha room 2 kwa mtogole zenye umeme japo sio self. Yaani wewe utakula mishkaki ya mbwa (ile ya sh 100) hadi uvimbiwe. Changamkia tenda mama.
Ushauri wangu, fukunyua MIZOMBII yako ya zamani utakuta japo mmoja wa kukufariji! Sababu ni only friendly company, mimi humu ndani namuamini mmoja tu, mzee wa CREDIBILITY!!!! a.k.a The Boss atakufaa sanaaaa, na ni mpinzani mkubwa wa KUONJA ONJA!!! LOL! The Boss nimekupa bao la kisigino hilo ushindwe mwenyewe!!! (USINUNE SANA!! The Boss)
Hi wana mmu..
kama heading isemavyo..nna wakat mgumu mpnz nliyempenda na kumwamin ameniacha..2medumu kwa miaka2,kaniacha bla kuniambia sabab sasa ni mwez wa2 but nashndwa kumtoa akilin,nitaj company especial ya mkaka alie mcheshi,mkalimu,na atakaeweza kunifanya nisahau maumivu kwan nahc kuzidiwa kila cku zinavyozd kwnda
NB..wat i nid is jst a frnd,am 22 of age..
just a freand..? Kwanini asiwe wa kike sasa? All da best lakin...
umeanza na match making pia?
hushindwi kitu naona?
umeanza na match making pia?
hushindwi kitu naona?
Hi wana mmu..
kama heading isemavyo..nna wakat mgumu mpnz nliyempenda na kumwamin ameniacha..2medumu kwa miaka2,kaniacha bla kuniambia sabab sasa ni mwez wa2 but nashndwa kumtoa akilin,nitaj company especial ya mkaka alie mcheshi,mkalimu,na atakaeweza kunifanya nisahau maumivu kwan nahc kuzidiwa kila cku zinavyozd kwnda
NB..wat i nid is jst a frnd,am 22 of age..
nivea, asante sana kwa kunipigia ndogondogo
Hi wana mmu..
kama heading isemavyo..nna wakat mgumu mpnz nliyempenda na kumwamin ameniacha..2medumu kwa miaka2,kaniacha bla kuniambia sabab sasa ni mwez wa2 but nashndwa kumtoa akilin,nitaj company especial ya mkaka alie mcheshi,mkalimu,na atakaeweza kunifanya nisahau maumivu kwan nahc kuzidiwa kila cku zinavyozd kwnda
NB..wat i nid is jst a frnd,am 22 of age..
Hi wana mmu..
kama heading isemavyo..nna wakat mgumu mpnz nliyempenda na kumwamin ameniacha..2medumu kwa miaka2,kaniacha bla kuniambia sabab sasa ni mwez wa2 but nashndwa kumtoa akilin,nitaj company especial ya mkaka alie mcheshi,mkalimu,na atakaeweza kunifanya nisahau maumivu kwan nahc kuzidiwa kila cku zinavyozd kwnda
NB..wat i nid is jst a frnd,am 22 of age..