I need company....to heal my wound

I need company....to heal my wound

.....kata mti panda mti? Wrong!.... At 22yrs huhitaji kutafuta wa kukuliwaza, ....jijengee/jiweke kwenye mazingira ya KUTAFUTWA!


Umeona na wewe swahiba wangu,

Yaani kana miaka 22 na tayari kanahangaika na midume?

Kakizidisha hiyo miaka mara 2 katakuwaje??

Nahofia miguu isijeota magamba kama ya sangara au kakaokota makopo kabisa!

Babu DC!!
 
achana na wazee hao chukua hawa watoto wadogo kama Dark City, Mtambuzi Bishanga Baba V Bujibuji wasiliana nao watakusaidia ni vijana wadogo na wenye uelevu wa maisha achana na wazee ndio hao wanakuacha bila kutarajia mweeeeeeeeee pole sana


Hivi kati ya uliowataja hapo, kuna mtu yuko tayari kukimbizana na pasua vichwa wa 22yrs old wakati watu waliokwishatulia wanawinda wenyewe??

The good news (may be bad as well), I am helpless!!

Babu DC!!
 
Si bora miguu!

Iyakuwa kama sponji ilojaa maji
kama rapurapu hivi, hadi ulikamua ndo upate ladha lol

Umeona na wewe swahiba wangu,

Yaani kana miaka 22 na tayari kanahangaika na midume?

Kakizidisha hiyo miaka mara 2 katakuwaje??

Nahofia miguu isijeota magamba kama ya sangara au kakaokota makopo kabisa!

Babu DC!!
 
Ushauri wangu, fukunyua MIZOMBII yako ya zamani utakuta japo mmoja wa kukufariji! Sababu ni only friendly company, mimi humu ndani namuamini mmoja tu, mzee wa CREDIBILITY!!!! a.k.a The Boss atakufaa sanaaaa, na ni mpinzani mkubwa wa KUONJA ONJA!!! LOL! The Boss nimekupa bao la kisigino hilo ushindwe mwenyewe!!! (USINUNE SANA!! The Boss)
lara 1 mimi nimependa ulivomwelezea kiueledi kabisa The Boss hapa...ashakum si matusi, unao uhakika na usemalo...
 
Last edited by a moderator:
Angalia usiishie kukutana na mizombii
 
Sababu za kutemwa lazima unazijua. kuna kitu ulimnyima sasa kapewa na mwingine. balaa hiyo
funguka vizuri upate kampuni ya kudumu. ukificha tena ukweli, watakumwaga tu tena.
 
Hi wana mmu..
kama heading isemavyo..nna wakat mgumu mpnz nliyempenda na kumwamin ameniacha..2medumu kwa miaka2,kaniacha bla kuniambia sabab sasa ni mwez wa2 but nashndwa kumtoa akilin,nitaj company especial ya mkaka alie mcheshi,mkalimu,na atakaeweza kunifanya nisahau maumivu kwan nahc kuzidiwa kila cku zinavyozd kwnda
NB..wat i nid is jst a frnd,am 22 of age..

ha ha ha haaaaaaaaaaa nina wac wac kama humu utapata wa kukusahaulisha maumivu! Kajiunge na kwaya kanisani kwako, jikeep bize. Rafiki atakuja kwa wakati wake.
 
Si bora miguu!

Iyakuwa kama sponji ilojaa maji
kama rapurapu hivi, hadi ulikamua ndo upate ladha lol

tatizo mnawaza mapenz tu...i said i nid frend co mnakurupuka tu,mnalipwa au??????respect ur selfes wakubwa
 
tatizo mnawaza mapenz tu...i said i nid frend co mnakurupuka tu,mnalipwa au??????respect ur selfes wakubwa

watu wanapenda kucheza na hisia zako na wanazidi kukuumiza.. pole sana.. naku PM....
 
Hi wana mmu..
kama heading isemavyo..nna wakat mgumu mpnz nliyempenda na kumwamin ameniacha..2medumu kwa miaka2,kaniacha bla kuniambia sabab sasa ni mwez wa2 but nashndwa kumtoa akilin,nitaj company especial ya mkaka alie mcheshi,mkalimu,na atakaeweza kunifanya nisahau maumivu kwan nahc kuzidiwa kila cku zinavyozd kwnda
NB..wat i nid is jst a frnd,am 22 of age..

Ni pm tuonane nikupunguzie machungu.
 
Nasubiria Pm yako beibe, uliza mtu yoyote hapa mtaani mimi ni comedian..

aisee? nyie jamaa mbona kama mnafeli? mtasubiriaje pm? yy katoa vigezo vyake,apo kama nnaqualify mum-inbox tu
 
He he he, company ya mama hutaki? au dada?

Unajua raha ya kukurupuka weye? Au kukurupuliwa?


Bikira unatafuta nini chumba cha kuzalia?

tatizo mnawaza mapenz tu...i said i nid frend co mnakurupuka tu,mnalipwa au??????respect ur selfes wakubwa
 
unakaribishwa pm

mwenzio nimepitia hapo ulipopitia. Najua ni kitu gani unakikosa
 
Nimeguswa na ulichokisema. Even to me,i'm looking 4 some1 special. Find me anytym on +255712200315
 
Back
Top Bottom