I need company....to heal my wound

ni muhimu kutokuwa serious sana kwenye mapenz kabla yakumchunguza mtu mzuri...pia usiwe sana concetrated kwenye haya mambo ukitaka usiumie,jaribu kujikeep busy,kama mimi hapa hichi My Perfect Internet
ndicho kinachonikeep busy ayo mambo now hayanisumbui tena jaribu kujoin ujionee muenekano mpya
 

sasa na wewe ukishapona hicho kidonda kinakuwaje??unatambwaga huyo rafiki uliyempata a??
Halafu miaka 22 ni midogo sana nakuhakikishhia utatendwa mara 8 kuanzia sasa kisha ndo utampata wa ukweli
jikaze wewe mtoto wa kiume unalialia tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…