I need someone to talk

I need someone to talk

Inaelekea una appetite nzuri, sasa huku kunakufaa sana...nitahakikisha umeongeza kilo 5 ndani ya wiki!!..ha ha
Most definitely ila i hope mafia wa kiitaliano hawako karibia na maeneo ya kwako ikibidi nije na full security
 
Daahhh
samahani mwahego
nimechelewa kukutuliza
hopeful unajisikia vizuri leo..
kama bado nijuliashe bibi mzuri..
dawa ninayo..
 
Nani amemboa my lovely sisy? Kama ni PakaJimmy mwambe ODM is coming.....of course kwa shari!

Preta, you know where to find me, don't you? Now... keep cool, OK?

Babu loves to see you happy bana! SMILE!
 
Dears, Dearests and Super Dears......asanteni sana kwa kunipa moyo.....nashukuru nililala salama na nimekuwa nikismile wakati wote pale ninapotafakari comments zenu...now am happy and kicking......though still bado niko na vichembechembe kidogo lakini sio kama jana.....I hope vitakwisha by leo mchana....
I LOVE YOU ALL MY DEAR FRIENDS....
 
Nani amemboa my lovely sisy? Kama ni PakaJimmy mwambe ODM is coming.....of course kwa shari!

Preta, you know where to find me, don't you? Now... keep cool, OK?

Babu loves to see you happy bana! SMILE!

Pakajimmy amechangia kwa upande mwingine pia......come and show him....
But thx m smilling now.....
 
Hope u feeling better today Preta
cheer up, don't let any living creature spoil your mood
maisha yenyewe mafupi
:cheer2::cheer2:
 
Preta nakusubiria hapa Philips mwambie dereva akulete hadi hapa then we'll leave from here.
 
Dears, Dearests and Super Dears......asanteni sana kwa kunipa moyo.....nashukuru nililala salama na nimekuwa nikismile wakati wote pale ninapotafakari comments zenu...now am happy and kicking......though still bado niko na vichembechembe kidogo lakini sio kama jana.....I hope vitakwisha by leo mchana....
I LOVE YOU ALL MY DEAR FRIENDS....

Hivi hii kitu :mvutaji: haikusaidiagi?
Try it at home....
BTW: Ondoa shaka utafika....
 
Wapenzi leo nzima nilikuwa na siku nzuri sana yenye furaha tele, lakini ilipofika mida ya saa kumi jioni siku imeharibika kabisa, nimekosa raha na najisikia vibaya sana, ikizingatiwa mimi ni mtu wa kuwa na raha wakati wote na huwa siruhusu kabisa moyo wangu kuvunjika, lakini leo hali ni mbaya. Asante sana kwa wewe rafiki uliyenipigia simu kutoka mbali, in such a way umenifariji kwa kiasi fulani.
Wapendwa am feeling bad.
leo ua feelin gud bila shaka
 
Kwa wewe kukereka inabidi angalau nichangie kidogo pole mupenzi na mwanajamiione atafunga macho hatatuona nikwambia nitakuwa nikubembeleze
 
usijali mhandisi.....ni mambo mambo tuu.....tutasemezana

srry my babie gal,
u knw..we live in the world where there is bumps and thorns
those bumps and thorns are people around us
we cant live without them, and know that they make us strong
but, u know what, there is a new hope as long as u're wit me
I'll kiss away all the pain
come closer babie and let me cool down ur temper and regulate ur heartbeats
I LUV U SWEETIE.....!
 
Wapenzi leo nzima nilikuwa na siku nzuri sana yenye furaha tele, lakini ilipofika mida ya saa kumi jioni siku imeharibika kabisa, nimekosa raha na najisikia vibaya sana, ikizingatiwa mimi ni mtu wa kuwa na raha wakati wote na huwa siruhusu kabisa moyo wangu kuvunjika, lakini leo hali ni mbaya. Asante sana kwa wewe rafiki uliyenipigia simu kutoka mbali, in such a way umenifariji kwa kiasi fulani.
Wapendwa am feeling bad.

Nenda K.NYE.. u will feel very very GOOD.. au.. J.MBA
 
pole sana mamie..naamin mambo shwari sasa, usikwazike sana dunia ndivyo ilivyo. ni vijimambo tuu ukakabiliana navyo sawa sawa huwa vinapita kwa kasi ya ajabu:car:
 
Hakika watanzania baaaaadoo sana kwani lazima Jf tena jukwaa la siasa?KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
 
srry my babie gal,
u knw..we live in the world where there is bumps and thorns
those bumps and thorns are people around us
we cant live without them, and know that they make us strong
but, u know what, there is a new hope as long as u're wit me
I'll kiss away all the pain
come closer babie and let me cool down ur temper and regulate ur heartbeats
I LUV U SWEETIE.....!

I love you too....thanx
 
pole sana mamie..naamin mambo shwari sasa, usikwazike sana dunia ndivyo ilivyo. ni vijimambo tuu ukakabiliana navyo sawa sawa huwa vinapita kwa kasi ya ajabu:car:

Asante my dear....me missed you bana......kwa vyovyote vile utakuwa upo ok......happy easter
 
Niko powa sana ..... umefunga kwaresma naona na ww unaonekana kwa msimu ?

Wapi Mkuu; sijafunga wala nini . . . mambo mambo tu ya kujivua gamba . . .

FL1 . . hiyo Avatar yako are u close to that looklike? Maana mmmh!

Wa moja hawezi kuvaa mbili?
 
Back
Top Bottom