fidel castro wapili
JF-Expert Member
- Mar 18, 2017
- 3,497
- 2,911
Alikufa kwa ajali ya ndege ni kifo cha kawaida.Mkuu, Unamaanisha hakufa kifo cha kawaida?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikufa kwa ajali ya ndege ni kifo cha kawaida.Mkuu, Unamaanisha hakufa kifo cha kawaida?
Hakikuwa kifo cha kawaida. 'Postmortem' ya mwili wa mwendazake pamoja na wengine wote ambao waliaga dunia, kwenye ajali hiyo, zilipatikana na chembechembe fulani kwenye mapafu. Ambayo iliashiria kwamba walikuwa 'exposed' kwa gesi flani hatari kwa afya wakiwa huko huko angani kwenye ndege. Jambo ambalo ndio labda lilisababisha ajali hiyo.Alikufa kwa ajali ya ndege ni kifo cha kawaida.
Sawa, mkuu!Alikufa kwa ajali ya ndege ni kifo cha kawaida.
Kifo chake kinadalili za mchongo?Alikuwa mbunge wangu kule kwetu home Kajiado, toka nilipo zaliwa hadi alipoaga dunia. Yeye ndio makamu wa rais ambaye alikalia kiti hicho kwa muda mrefu zaidi ya wote. Mpenda amani. Profesa wa hesabu.
Wakenya tutamkumbuka kwa ile kauli yake ya hekima tupu; There comes a time.....when the country is more important than an individual! Baada ya rais mstaafu Daniel Arap Moi kumtema kama mrithi wake, kwenye mida ya lala salama ya utawala wake. Kisha Moi akamchagua kijana ambaye hakuwa anatambulika kisiasa wakati huo, yaani Uhuru Kenyatta. Hapo ni mukhtasari kwa ufupi. R.I.P Profesa.
Sidhani mkuu, rubani anabadilishwa ghafla, NOAlikufa kwa ajali ya ndege ni kifo cha kawaida.
Nimepata kitu kipya hapa, mkuu shukrani.Sidhani mkuu, rubani anabadilishwa ghafla, NO
Huyu Mh. Saitoti alinikosha sana katika namna yake ya utendaji. Hakuna kiongozi kwa Taifa la Kenya niliyekuwa nikimkubali sana kama Bw. George Saitoti.Kifo chake kinadalili za mchongo?