Ndugu zanguni siku hizi hapa Tanzania kuna wajasiriamali wanauza simu mtumba kutoka juu kwa bei poa hapa Dar,kwa kawaida hizo simu ikiwa mpya bei yake ni kubwa sana ,kwa watu kama sisi akina pangu pakavu hatuwezi kuzinunua ,lakini ni simu zenye vikorombwezo ambavyo ni muhimu sana kwa maisha ya siku hizi ,zina uwezo wa kuwa na vitu kama kamera,mziki na iternate.
Sasa kuna pia sijui ni simu au ni nini sijui inajulikana kama I phones,hapo ndipo swali langu linaokuja je kwa mazingira ya Tanzania aina hii ya simu je inafaa kwa maana nimesoma tu kwenye mtandao kuwa ukitaka kuweka mziki sijui mpaka uende kwenye net ili uweze kupata I tunes.
Kwa kifupi ningependa kujua kwa hapa bongo kama inaweza kutumika kwenye hii mitandao yetu ya simu hata ukiwa huko vijijini,na je batri yake ikiisha inakuwaje ?unaweza kununua wapi hapa bongo,
asanteni
Sasa kuna pia sijui ni simu au ni nini sijui inajulikana kama I phones,hapo ndipo swali langu linaokuja je kwa mazingira ya Tanzania aina hii ya simu je inafaa kwa maana nimesoma tu kwenye mtandao kuwa ukitaka kuweka mziki sijui mpaka uende kwenye net ili uweze kupata I tunes.
Kwa kifupi ningependa kujua kwa hapa bongo kama inaweza kutumika kwenye hii mitandao yetu ya simu hata ukiwa huko vijijini,na je batri yake ikiisha inakuwaje ?unaweza kununua wapi hapa bongo,
asanteni