Financial Analyst
JF-Expert Member
- Nov 27, 2017
- 1,849
- 3,506
.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna anaowalazimisha mfuate ya kwetu, so na sisi msitulazimishe tufate yenuHatuko tayar kufuata Mila za mayahudi na manaswara.
Elewa kwamba nchi ambazo ni minority au hata kingereza hujajua hapo maana yake ni nn?Hakuna anaowalazimisha mfuate ya kwetu, so na sisi msitulazimishe tufate yenu
Hatuko tayar kufuata Mila za mayahudi na manaswara.
Elewa kwamba nchi ambazo ni minority au hata kingereza hujajua hapo maana yake ni nn?
Katika majority wapo kwa kiasi kikubwa kwamba asilimia ni kubwa hata bongo mnaongozwa na chama nilishoshinda kwa kura kwa watu wengi ( Minority)
Je unazijua sheria za Vatican ,how they their practising look like? Jaribu kusoma usiwe mtu wa kuangalia meme
Kaama ipo kamili na imekamilika Zaid ya katiba why wasitumie wasitumie sharia..je umezunguka dunia nzima ukajua kila nchi I'ma taratibu kutokana na watu husika.
Unakuwa na mjinga ukienda china na India ukaona uislamu ulivyokuwa sumu musiims are massively killed and evicted form their own land...unalojua hilo au umekaa tu ushakula nguruwe means huwezi kufikiria.
Waislamu wapi wanaua wenzao ambao sio waislamu nje ya migogoro yao ya kimadaraka.
Siku moja tafuta hela nenda china au India kaone waislamu wanavyopigwa ,kitendo cha kuvaa hijab kwa mwanamke ni sumu wananyanyaswa ..je ushawahi kuona tukilalama ?
Umeangalia china ,India yaani watu kupigwa na kuchomwa moto kabisa bila ya kisa.Ukiwaendekeaa waisalm hasa hawa waliopo afrika utavuna mabua,tunamengi ya kujifunza toka nigeria,somali hata zenji,mtu mwenye akili timamu hawezi kuwa muumini wa imani hiyo.
Dini hizi zina agenda za siri. Hamna dini yenye afadhali. Uislam uliasisiwa pale Vatican 🇻🇦.
Wagalatia ni Waturuki na Waturuki ni WaislamEnyi Wagalatia msio na akili, ni nani aliyewaloga, Gal 3: 1
Ewe mgalatia usio na akili, ni nani aliyekuloga, Gal 3: 1 hapa Paulo alikuwa anaongea na wakrosto wapya ambao ni raia wa uturuki tumia akili usihamishe goali anyway ameshasema hamna akili tumieni nywele basi kwan akili ni nywele piaWagalatia ni Waturuki na Waturuki ni Waislam
![]()
Galatia - Wikipedia
en.m.wikipedia.org
Cha kushangaza hakuna ushahidi wa hizo claims labda niku debunk really fast HAKUNA KATIKA HISTORIA IMEWAHI KUTOKEA WAISLAMU WAKAFUKUZA WASIO WAISLAMU KWENYE NCHI ZAO NINAVYOONA NI KINYUME CHAKE na sharia law huwa inawahusu waislamu pekee sijajua msio waislamu inawauma nini.