"I prefer not to speak, if i speak i'am in big trouble"

"I prefer not to speak, if i speak i'am in big trouble"

Cha kushangaza hakuna ushahidi wa hizo claims labda niku debunk really fast HAKUNA KATIKA HISTORIA IMEWAHI KUTOKEA WAISLAMU WAKAFUKUZA WASIO WAISLAMU KWENYE NCHI ZAO NINAVYOONA NI KINYUME CHAKE na sharia law huwa inawahusu waislamu pekee sijajua msio waislamu inawauma nini.
Kuna uoga fulani umeanza dunia nzima juu ya ukweli na nguvu ya uislamu kupelekea chuki.
Mfano hapa JF wengi wanaouchukia uislam/waislam ukiwauliza hasa walichofanywa hawatokupa jibu la maana.

Chuki zao zimepandizwa na propaganda za kudhoofisha uislam baada ya kuona unazidi kukua.


Ukitaka kujua ni mission maalum, angalia nyuzi za kudhihaki na kuchafua uislam zilivyojaa humu lakini hazifutwi.

Cha ajabu zaidi wanaochukia uislam wanaishi na waislam baadhi wameajiriwa na waislam, wana mahusiano na waislam lakini huku wana chuki ambazo hata wao wenyewe hawajui chanzo chake.
 
Ukiwaendekeaa waisalm hasa hawa waliopo afrika utavuna mabua,tunamengi ya kujifunza toka nigeria,somali hata zenji,mtu mwenye akili timamu hawezi kuwa muumini wa imani hiyo.
Yeah ! Mtu mwenye akili timamu anatakiwa kuwa mnafiki mkubwa na unafiki ni nini?

Unafiki ni kuamini kwamba Mungu anaweza kuja kwa umbo la binadamu akazaliwa akateswa kisha akafa kwa ajili ya kuukomboa ulimwengu kutokana na dhambi .

Kisha hapo hapo unakataa kwamba Mungu hawezi kuja kwa umbo la Ng'ombe akaabudiwa na wahindu , kwa umbo la Jiwe akachongwa sanamu , kwa umbo la nyoka n.k

HALAFU UKAENDELEA KUJIITA UNA AKILI TIMAMU GIVE ME A BREAK!
 
Kuna uoga fulani umeanza dunia nzima juu ya ukweli na nguvu ya uislamu kupelekea chuki.
Mfano hapa JF wengi wanaouchukia uislam/waislam ukiwauliza hasa walichofanywa hawatokupa jibu la maana.

Chuki zao zimepandizwa na propaganda za kudhoofisha uislam baada ya kuona unazidi kukua.


Ukitaka kujua ni mission maalum, angalia nyuzi za kudhihaki na kuchafua uislam zilivyojaa humu lakini hazifutwi.

Cha ajabu zaidi wanaochukia uislam wanaishi na waislam baadhi wameajiriwa na waislam, wana mahusiano na waislam lakini huku wana chuki ambazo hata wao wenyewe hawajui chanzo chake.
Mkuu katika kusoma soma na kupita pita kwenye maisha nimekuja kugundua Mkristo Mzungu na Mkristi muafrika wana UTOFAUTI MKUBWA
Mkristo yeyote atakayesoma hapa asichukulie hii post in negative way.

Ni kwamba wakristo wazungu licha ya kuwa na chuki na uislamu ila wana reason mambo kisha wanachunguza na baadaye wanafikia hitimisho lao , na huwa hawakariri mambo kama huku kwetu.

Ukija kwa wakristo wa afrika thinking and reasoning imeondolewa moja kwa moja yaani akiambiwa neno na kiongozi wake huwa hafuatilii na anameza kama lilivyo KIKAWAIDA HII SIYO SAWA sijajua huwa viongozi wao wanatumia nini kuwafanya wawe hivyo ANYWAY nitafuatilia zaidi.

Kuhusiana na uislamu kukua kwa kasi hili lipo wazi sana na hata baadhi ya nchi kama uingereza wanafikiria kupitisha sheria ya kumfanya muislamu asiwe na haki zote yaani anakuwa ni second level citizen sawa na mkimbizi
 
Back
Top Bottom