Na kikubwa Ni Je unaridhika na Kazi unazo fanya? kama huridhiki nazo basi unatakiwa kutoka, make tumukuwa tukifanya kazi tusizo rizika navyo miaka hadi 30 unakutamtu tangia aingie hapo kazini ni kunung,unika mapka anastafu, sasa hapo ndo makosa yalipo,
Na kwa kifupi mfano mimi sioni umuhimu wowote wa mimi kuendelea kufanya kazi kwa sababu siko happy na kazi na napoteza muda mwingi na nguvu nyingi sana ambazo ningetulia kwenye kazi zangu ingekuwa ni faida kwangu, Sometime si kwamba watu wanaacha kazi kwa sababu wameisha kusanya pesa ya kutosha, no ni kwa sababu wanaona hakuna wanacho faidi,
Unakuwa mtumwa wa kuhesabu siku, ili Mwisho wa mwezi upate pesa, Unakuwa kila siku ni mtu wa kumuuliza mhasibu wenu kama amesiha peleka mishahara Benki, haya ni mambo ambayo kwa binafisi sioni mantiki yake,
Jiulize ni Miaka mingapi sasa uko Kazini na kuna Cha maana umefanya katika maisha yako? Kwangu mimi naona hakuna, Tatizo watu tunakuwa na uoga kwamba sasa ndugu zangu watanielewa vipi? Mke/Mme wangu atanielewa vipi? Mcumba wangu atanielewa vipi? si ndo atanikimbia? Majirani Je? Marafiki Je? Nisha zoea kufuatwa na Gari la Kampuni sasa itakuwa vipi? Ofisini mimi ni Bosi sasa itakuwa vipi? Vile viyoyozi vya Ofisini kweli niviache?
Ukisha fikilia hayo yote ndo inakuja ishu ya kwamba ngoja nifanye kwanza, Mkuu Ajira ni sawa na mtu amabye amedata na sigara, au Pombe kuacha ni shughuli,
Wapo wengi walio apa kwamba wanaajiriwa miaka Miwili, au Mitatu au Miatano then wanatemeana na kazi na wanajiajiri But mpaka sasa wana miaka 20 wakiwa huko huko,
SO KUCHUKUA MAAMUZI KAMA YA MUGUKU NI WEWE MWENYEWE UKIONA HAIWEZAKANI UNACHAPA KAZI, KWA SABABU HATA HIVYO HAIWEZEKANI WOTE WAKAWA WAJASIRIMALI, HATA NCHI KAMA INDIA, CHINA, ambazo zina rate kubwa sana ya Entreprenership Spirit still kuna watu hawataki kusiki kitu Kuwa wajasirimali, so sio Tz pekee bali ni kila mahali