I really miss you, Raynavero

I really miss you, Raynavero

Mimi Niko Tayari Kuupokea Mwaka Mpya, with energy and dreams.

Plus you on my side

Yaaaaas!

Moja ya kipindi kizuri kwangu ni msimu wa sikukuu hizi za xmas na mwaka mpya....huwa nafeel at peace labda ni vile tunamaliza mwaka so kiimani naona kama natua mizigo/matatizo yote ya mwaka na kuanza upya

Mungu atujaalie tuumalize salama na kuuanza vyema
 
Yaaaaas!

Moja ya kipindi kizuri kwangu ni msimu wa sikukuu hizi za xmas na mwaka mpya....huwa nafeel at peace labda ni vile tunamaliza mwaka so kiimani naona kama natua mizigo/matatizo yote ya mwaka na kuanza upya

Mungu atujaalie tuumalize salama na kuuanza vyema

Mimi pia, especially mwaka huu, I have a lot to say Thank You To God.

A lot.
 
Ukiona ID ya mtu haiko active zaidi ya miezi sita,jua labda; hataki mawasiliano na mitandao,chombo/kifaa alichokuwa anatumia hakifanyi kazi,yuko mahututi,anatumia ID nyingine baada ya ID ya kwanza kutenda madhambi,au ametangulia mbele za haki.
Yangu ilikuwa offline kwa miaka miwili mfululizo na nilikuwa mzima kabisa, sema nilisahau password 😁😁
 
Back
Top Bottom