I regret to come to The USA

I regret to come to The USA

Alafu itu kingine we kingereza hujui kama ambavyo mimi sijui kimakonde, sa utajuaje kama kakosea ? Hata kiswahili kinakupiga chenga kidogo mkuu. Ni bora mtu anaekwambia ukweli kuliko yule anae ku marinate na uwongo uwongo. Bora ukweli mchungu kuliko uwongo mtamu.
Punguzeni ujuaji mkuu pamoja kingereza Cha msimuliaji hakika nyooka Wala kuzingatia TARATIBU ZA UANDISHI lakini story inaeleweka....

Kuna kuielewa lugha Kwa aina tatu
1. KUONGEA (kuizungumza)
2.KUISOMA (kusoma maandishi)
3.KUIANDIKA (kuiandika maandishi)

So msijifanye mnajua sanaaa
Professor Ndalichako mwenyewe wadau wanamkosoa kua hajui kizungumza kingereza kizuri (professor)
Hayati JPM nae alikosolewa sana hajui kukiongea kingereza vizuri mpaka aka achana nacho (broken English)
Ni bora kufanya constructive criticism kuliko kumpopoa mtu as if wewe unaweza kufanya anacho fanya...
 
Come on lets us try to be serious here , 20 years in U. S and this is how you type down your story ??.. though i have never been in any of the English speaking countries but you can see how good my English is , so what is wrong with you ??. Look there is no need to strain and straggle with a language that you're not good with just spear yourself from embarrasing youself right away . Type down by using Swahili and i tell you we will be so happy to read your story .
Walewale, sasa unamrekebisha nini hapo ikiwa we mwenyewe unahitaji kurekebishwa!
 
Mkuu ebu endelea na story achana na hao! Asilimia kubwa ya wanaoongea ushenz/ hawajaelewa hata hiyo broken

Mimi naomba uandike kwa kiswahili sio sababu haujui english hapana! Ila ni kwasababu ukiandika english utaniacha kidogo, na mimi nataka nipate ujumbe wote unaodhamiria kuufikisha.
Msema ukweli mpenz wa mungu, jamaa afikishe ujumbe ila uje kwa kiswahili manake ile lugha kanichanganya hata mimi naona English ni shida kwake kidogo, huwez jua inaweza kuwa mwenyezi Mungu katuletea Lemutuz ze supa Nyeyenye Mobimba Ye kwa staili nyingine atusimulie story yake ya My American experience sababu sikumbuki kama aliimalizia before he was gone for ever
 
Msema ukweli mpenz wa mungu, jamaa afikishe ujumbe ila uje kwa kiswahili manake ile lugha kanichanganya hata mimi naona English ni shida kwake kidogo, huwez jua inaweza kuwa mwenyezi Mungu katuletea Lemutuz ze supa Nyeyenye Mobimba Ye kwa staili nyingine atusimulie story yake ya My American experience sababu sikumbuki kama aliimalizia before he was gone for ever
Kwanini ulianza kwa kumsema? amani inatafutwa kwa gharama kubwa Sio sawa kua chanzo cha kumkera mtu,

Na utu uzima wako huo miaka yote uliyokaa Tz je unajua kiswahili sawasawa?
 
Punguzeni ujuaji mkuu pamoja kingereza Cha msimuliaji hakika nyooka Wala kuzingatia TARATIBU ZA UANDISHI lakini story inaeleweka....

Kuna kuielewa lugha Kwa aina tatu
1. KUONGEA (kuizungumza)
2.KUISOMA (kusoma maandishi)
3.KUIANDIKA (kuiandika maandishi)

So msijifanye mnajua sanaaa
Professor Ndalichako mwenyewe wadau wanamkosoa kua hajui kizungumza kingereza kizuri (professor)
Hayati JPM nae alikosolewa sana hajui kukiongea kingereza vizuri mpaka aka achana nacho (broken English)
Ni bora kufanya constructive criticism kuliko kumpopoa mtu as if wewe unaweza kufanya anacho fanya...
Mkuu unaona nisingemwambia jamaa nisingepata kitu kutoka kwako, now you are talking, CONSTRUCTIVE CRITICISM kama ulivyosema I want him to fix whatever he is trying to deliver in a good way sasa kama hii sio constructive basi ni kitu gani ? Mimi kwenye maisha yangu huwa sijali mtu anani criticize kiasi gani , huwa naangalia tu kama naweza kupata kitu positive out of the critics na i go with the positive stufs only.

Anyways, as much as i want this story to develop more and more, this dude needs to improve his writing skills, awe anaandika kwa kiswahili au kingereza improving writing skills kutaongeza attention ya watu na ujumbe utafikia watu wengi na wengi watajifunza. Now tell me, why am i a bad guy for saying this ? I thought it was going to develop into a good thing.
 
Kwanini ulianza kwa kumsema? amani inatafutwa kwa gharama kubwa Sio sawa kua chanzo cha kumkera mtu,

Na utu uzima wako huo miaka yote uliyokaa Tz je unajua kiswahili sawasawa?
Hapana mkuu sijui kiswahili sawa sawa na hiyo sion kama ni offense kwangu, nipo tayari kujifunza zaidi. Kwanini ninyi mnaogopa critics ?
 
Aisee nimechoka, tunaomba muendelezo Kwa lugha ya kiswahili
 
Hapana mkuu sijui kiswahili sawa sawa na hiyo sion kama ni offense kwangu, nipo tayari kujifunza zaidi. Kwanini ninyi mnaogopa critics ?
Critics ya nini kwani yeye amesema ni mzungu, ni jambo la kuelewa tu.

Ujuaji ni mwingi ndo mana umaskini wa akili ni mkubwa.
 
Critics ya nini kwani yeye amesema ni mzungu, ni jambo la kuelewa tu.

Ujuaji ni mwingi ndo mana umaskini wa akili ni mkubwa.
Kwahiyo nifanyaje mkuu? nishauri. Japokuwa 90% ya watu wamem criticize na naona comments za watu wapya wote wakisema kuna namna kaiandika hiyo lugha kwa namna isiyoeleweka, huoni kama ujumbe unaweza usifike kwa namna iliyodhamiriwa ?
 
Kwahiyo nifanyaje mkuu? nishauri. Japokuwa 90% ya watu wamem criticize na naona comments za watu wapya wote wakisema kuna namna kaiandika hiyo lugha kwa namna isiyoeleweka, huoni kama ujumbe unaweza usifike kwa namna iliyodhamiriwa ?
Sisi wote ni watu wazima kila mtu afanye anavyoona.
Ingekua mleta mada ndo kaomba ushauri ningemwambia Aandike namna yeye anaona inampendeza iwe kiswahili au english.

Anayetaka atasoma asiyetaka aende kusoma kwingine.
 
Ukisoma thread kama hii, ndiyo unajua pasina shaka ni kwanini kama nchi hatujaendelea na hatutakuja kuendelea kamwe.

Watu kandia sana, negative kupita kiasi, ujuaji mpaka basi na mengi mengine ya kijinga…..

Mshkaji kaja na story, labda lipo la kujifunza, badala ya watu kuzingatia maudhui na kumtia moyo amalize story, wao wanakimbilia kutoa kashfa, wakati wengi wetu hata kuandika tu kama jamaa alivyofanya kwa kiinglish hatuwezi. Kiswahili tu majanga….

Ndiyo maana hakuna tunachojua wala kuweza, kwasababu mtu akijaribu na labda kukosea kidogo, badala ya kutiwa hamasa ya kujifunza na kujaribu zaidi, watu watamcheka na kukebehi. Wengi wa wanaocheka na kutoa kebehi, wao wenyewe hawajui, hawawezi na hawana hata pumbu zenye ukubwa wa kuwafanya wajaribu.

Joseph, malizia story yako…
Nimeshangaa sana. Mbona watu wanaishi nchi hii zaidi ya miaka 40 na Bado hawajui kuandika kiswahili? Bado hatujaelimika kabisa!
 
Man, this is not cool. I will be honest with you, get a grammar teacher before you continue with this story and the rest should be in control, it seems like your communication skills are very poor. I know you cant write and from your writing, i bet you cant speak, and these two being combined i am sure you cant deliver a damn thing. That being said how are you going to survive in First World Countries ? ….

ANYWAYS,
Let me put some senses into your head, before it is worse that it is right now come back home there are alot of things to do right here , you can even KULA TUNDA KIMASIHARA when you are broke and life goes on, We know how to survive with no money, matter fact we are surviving….

Alot of stuffs to do in Tz if your a LAZY GUY, let me list few of them

YOU CAN BE
1.Chawa wa Mama
2. You can be chawa wa Paulo(now this guy is back in business)
3. Chawa wa chibu dangote
4. Chawa wa kondeboy
5. Dotto magari chawa wa every rich man town
6. CCM nambari one(all the empty headed dudes are there and they are surviving) and
7. Singeli musician.

Trust a brother, all these things can put money in your pocket all you got to do is learn the art of negotiation and be the biggest snitch of all, snitching in Tanzania is not a bigdeal…

All i got to say is, come back home, become a CCM member, chawa and a snitch, boom you win the jackpot…

Without forgetting
He can be Juma Lokole or James Delicious
 
Huu Sasa umekua Uzi wa kujifunza lugha???!!!
Kila mmoja anamkosoa mleta mada
Duh,Tz wajuaji wengi
 
Sasa nyinyi nasema sijui kizungu ila kizungu chagu kibove kina nifikisha sahemu yoyote Dunia nyinyi na kizungu chenu kizuri hata Nairobi hamjafika
Really enjoyed seeing your genuine reaction to all of the little things and you're right, I was the same way when I visited Europe for the first time in 1996 when I was 5 years of age. I was amused by how tiny everything was hahaha.. 😂😂😂
 
Ukisoma thread kama hii, ndiyo unajua pasina shaka ni kwanini kama nchi hatujaendelea na hatutakuja kuendelea kamwe.

Watu kandia sana, negative kupita kiasi, ujuaji mpaka basi na mengi mengine ya kijinga…..

Mshkaji kaja na story, labda lipo la kujifunza, badala ya watu kuzingatia maudhui na kumtia moyo amalize story, wao wanakimbilia kutoa kashfa, wakati wengi wetu hata kuandika tu kama jamaa alivyofanya kwa kiinglish hatuwezi. Kiswahili tu majanga….

Ndiyo maana hakuna tunachojua wala kuweza, kwasababu mtu akijaribu na labda kukosea kidogo, badala ya kutiwa hamasa ya kujifunza na kujaribu zaidi, watu watamcheka na kukebehi. Wengi wa wanaocheka na kutoa kebehi, wao wenyewe hawajui, hawawezi na hawana hata pumbu zenye ukubwa wa kuwafanya wajaribu.

Joseph, malizia story yako…
Ngozi nyeusi wengi ni wapumbavu sana hasa watanzania,labda jamaa angeandika kichina ndo wangetulia,niwajuaji juaji sana,badala ya kufatilia ujumbe alio kusudia mwandishi wanaanza kuleta mambo ya grama,kwani amesema anataka kufundisha kiingereza??

Mbona jamaa anatumia kiingereza chepesi na kizuri tu kila mmoja kusoma na kuelewa

Tuna mana mambo mengi yanatushinda kwa sababu za kijuaji na ufiki
 
Back
Top Bottom