I regret to come to The USA

Hii statement yako ya mwisho pia ina makosa,ilitakiwa isomeke hivi
"For i have........".. No need for both Me and I ziwe katika same sentence
Sawa mkuu 😊🤓 hii lugha ilikujaga na meli.... Asante Kwa constructive criticism

Na ndio maana tuna ma SIR wawili tu tangu uhuru...
Sir. George kahama na Sir. Andy Chandy
SIR. GEORGE KAHAMA Huyu mzee R.i.p alikua anaandika na kukiongea kingereza vizuri utadhani ni NATIVE wa huko uingereza.....
 
Hakika hiz ni lugha za watu mkuu..sisi tunajifunza tu
 
Jipe pole mwenyewe maana utaishia kokosawa wengine huku sisi wenye English ya kuunguga na kiswahili kibove tembea Dunia nzima in business class.
hii broken ya kiswahili nayo pia ya kujunga yani ya kujifanyisha.

Mwamba wewe upo Muleba unavua Sangara acha kutupaza.
 
Sisi wote ni watu wazima kila mtu afanye anavyoona.
Ingekua mleta mada ndo kaomba ushauri ningemwambia Aandike namna yeye anaona inampendeza iwe kiswahili au english.

Anayetaka atasoma asiyetaka aende kusoma kwingine.
Sawa mzee wa YANGAAAA
 
Seems mtoa mada yupo USA river Geneva ya Afrika au ameenda Amerika sio merekani
 
Hahaha ha thank you for your advice , but before you advise
me first do your self a favor, examine you life, and strengthen it first, then come back to advise others. from reading your comments that you call advice to me, I have learned a lot about your life situations. I bet your one of the ccm chawas. For me to be a member of ccm I rather be homeless anywhere in the world. If someone asks to pay me one million US dollars to be his/ her chawa, I will tell him to go to hell with his money. I better die poor than living 100 years as someone's chawa.
 
Na kwa kuongezea ukukaa na Jumuiya ya Wanao ongea kiingereza ni rahisi sana kua vizuri kwenye kuongea hiyo lugha yaani matamshi. Ila issue ya grammer aloooh kama ilikupita shule unatakiwa kua very extra ordinary kui master
 
Acha mbwembwe bhana leta story
 
Good for you, and for your information I will never ever be ccm chawa, or any other persons chawa.
 
[emoji2][emoji2][emoji2]We jamaa nilitaka nikupe bonge la dongo ,ila nimebaki nacheka tu ulivyomalizia.
 
[emoji2][emoji2][emoji2]We jamaa nilitaka nikupe bonge la dongo ,ila nimebaki nacheka tu ulivyomalizia.
Me madongo ndio yananojengaga mkuu, twende kazi 😂😂😂😂. Naweza kuwa mkosaji lakin masta soma kwa makin jamaa anachosema,
 
Umemaliza darasa la saba mwaka 1992 na sasa uko
“in my late sixties”?

Mkuu jaribu kujipanga upya hata kama unaandika hadithi ya kubuni.

Samahani lakini.
 
Even myself I wonder for his poor English grammar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…