Eliphaz the Temanite
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 3,018
- 1,151
Huwa nalipa kika mwezi Dstv compact + shida yangu ni football ⚽. Mwezi huu nimegoma kabisa maana tulianza na 75 elf na sasa inakaribia laki moja
Then nikapata wazo LIVE STREAMING nimeangalia live Chelsea vs West Ham na sasa naangalia live Man U vs Newcastle United. Bundle ya unlimited speed ya siku kwa sh 1000 tena kwenye big screen nimeungaisha na HDMI from my computer kitu kina flow no kukwama kwama
Then nikapata wazo LIVE STREAMING nimeangalia live Chelsea vs West Ham na sasa naangalia live Man U vs Newcastle United. Bundle ya unlimited speed ya siku kwa sh 1000 tena kwenye big screen nimeungaisha na HDMI from my computer kitu kina flow no kukwama kwama