I see nimegundua ka kitu

I see nimegundua ka kitu

Very cheap, kesho naita fundi aje ang'oe dish la hawa DStv, nawaambia finito!

Mzee mkubwa sikushauri ufanye hivyo.Hizi live streaming hazina uhakika from day to day. Ipo siku zinafanya kazi vizuri na siku zingine maruerue tu.
 
Mzee mkubwa sikushauri ufanye hivyo.Hizi live streaming hazina uhakika from day to day. Ipo siku zinafanya kazi vizuri na siku zingine maruerue tu.

JF imekubadilisha sana. Sasa unaongea kiutu uzima hasa. Ushauri umepokelewa. Asante sana Mkuu Ngarna uliyehekimika.
 
Last edited by a moderator:
JF imekubadilisha sana. Sasa unaongea kiutu uzima hasa. Ushauri umepokelewa. Asante sana Mkuu Ngarna uliyehekimika.

Mkuu utani wa mpira usikufanye unielewe vibaya. Sio JF bali mimi ni mtu mzima na heshima zangu na kama utani wangu umekukwaza nakuomba msamaha. Life is too short to have grudges.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu utani wa mpira usikufanye unielewe vibaya. Sio JF bali mimi ni mtu mzima na heshima zangu na kama utani wangu umekwaza nakuomba msamaha. Life is too short to have grudges.

Uko vizuri Mkuu.
 
Back
Top Bottom